Aliyewadanganya kuwa ukipima Covid-19 Tanzania basi ukisafiri kwenda Nigeria haiwezekani ukakutwa nao ni nani?

Aliyewadanganya kuwa ukipima Covid-19 Tanzania basi ukisafiri kwenda Nigeria haiwezekani ukakutwa nao ni nani?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Pimeni leo hapo Muhimbili hiyo Covid-19 yenu ila mkifika tu Kwao nchini Nigeria 85% ya Wachezaji wenu watakutwa nayo na Kuna uwezekano Golini akakaa Hersi, Kiungo akacheza Haji na Ushambuliaji akamaliza Senzo huku Mzee Mpili akiwa ndiyo Kocha Mkuu wenu.

Eti leo mnailaumu Simba SC kuwa ndiyo inawasaidia na kuwapa Siri zenu Wapinzani wenu hivyo Kuufanya huo Mchezo wenu ambao wenye Akili tumeshajua kuwa mmetolewa kuwa Mgumu.

Hivi siyo nyie tena kupitia Senzo Mbatha Mazingisa mliwasaidia mno Kaizer Chiefs FC kwa Kushirikiana na Msukule wenu ( Msaliti Wetu ) Simba SC walipokuja Tanzania kiasi cha kuwaambia wawe makini na Vyumba kwa Mkapa na Kocha wao Msaidizi pamoja na Wachezaji wao Watatu Weusi mkawapeleka kwa Mganga wenu Mkubwa aliyeko Kigamboni?

Mmeanza na Sisi tunamaliza Kudadeki!!!
 
Pimeni leo hapo Muhimbili hiyo Covid-19 yenu ila mkifika tu Kwao nchini Nigeria 85% ya Wachezaji wenu watakutwa nayo na Kuna uwezekano Golini akakaa Hersi, Kiungo akacheza Haji na Ushambuliaji akamaliza Senzo huku Mzee Mpili akiwa ndiyo Kocha Mkuu wenu.

Eti leo mnailaumu Simba SC kuwa ndiyo inawasaidia na kuwapa Siri zenu Wapinzani wenu hivyo Kuufanya huo Mchezo wenu ambao wenye Akili tumeshajua kuwa mmetolewa kuwa Mgumu.

Hivi siyo nyie tena kupitia Senzo Mbatha Mazingisa mliwasaidia mno Kaizer Chiefs FC kwa Kushirikiana na Msukule wenu ( Msaliti Wetu ) Simba SC walipokuja Tanzania kiasi cha kuwaambia wawe makini na Vyumba kwa Mkapa na Kocha wao Msaidizi pamoja na Wachezaji wao Watatu Weusi mkawapeleka kwa Mganga wenu Mkubwa aliyeko Kigamboni?

Mmeanza na Sisi tunamaliza Kudadeki!!!
HATA WAO SI WALIWAFANYIA FIGISU WANAIGERI WALIWAPA COVID WACHEZAJI WAO NA WAO WAMEAHIDI WATALIPA TU YAANI KIFUPI WAJIANDAE KUBUTULIWA BAO ZA KUTOSHA TU
 
majibu yao walipewa masaa mawili kabla ya mechi hapa bongo(licha ya kufanya siku tatu before) watafanya hivyo pia kule kwao hadi sasa watakaokutwa na uviko kule ni makambo, kipa mdaka gololi, bangala,mukoko

viongozi watatu wataokutwa na uviko ili kubalance idadi ya wapopo viongozi waliokutwa nao bongo ni senzo, daktari wa team na injinia hersi

na lazima kiongozi mmoja apasuliwe na fimbo utosini ili kutimiza maandiko ya JINO KWA JINO inasemekena itabidi awe msemaji ili iwe saresare maua
 
Kwani CAF si walishatangaza tokea msimu uliopita kuwa watalaam kutoka CAF ndio watakaohusika na upimaji wa Covid-19 au imekuaje mpaka Yanga na Rivers wameingia kwenye kuhujumiana?
 
Kwani CAF si walishatangaza tokea msimu uliopita kuwa watalaam kutoka CAF ndio watakaohusika na upimaji wa Covid-19 au imekuaje mpaka Yanga na Rivers wameingia kwenye kuhujumiana?
Mbona Swali lako hili la Kinafiki hukuliuliza pale Rivers United FC walipokuwa hapa Dar es Salaam Tanzania wakipimwa na mpaka Kufanyiwa Figisu Figisu na Yanga SC yako? Mnafiki mkubwa Wewe!
 
Basi Yanga watashinda huko Nigeria.
Kwakuwa Simba itashindwa kuwahujumu wakiwa huko ugenini kwao.
Visingizio fc.
 
Mbona Swali lako hili la Kinafiki hukuliuliza pale Rivers United FC walipokuwa hapa Dar es Salaam Tanzania wakipimwa na mpaka Kufanyiwa Figisu Figisu na Yanga SC yako? Mnafiki mkubwa Wewe!
Swali langu linakuja baada kusikia Yanga imeifanyia figisu Rivers kuhusu swala la Corona. Kwa upeo wangu mdogo nilidhani haya maswala yapo chini ya CAF wenyewe. Kama haipo hivyo kama nilivyokuwa nafikiria basi ni sahihi kuwa msimu uliopita Simba waliziujumu sana timu za nje kwa kuwazingizia kuwa wana corona. Hivyo hivyo kwa Yanga Msimu huu na kibao kitawageuka pia Yanga wakienda Nigeria.
 
Back
Top Bottom