MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Pimeni leo hapo Muhimbili hiyo Covid-19 yenu ila mkifika tu Kwao nchini Nigeria 85% ya Wachezaji wenu watakutwa nayo na Kuna uwezekano Golini akakaa Hersi, Kiungo akacheza Haji na Ushambuliaji akamaliza Senzo huku Mzee Mpili akiwa ndiyo Kocha Mkuu wenu.
Eti leo mnailaumu Simba SC kuwa ndiyo inawasaidia na kuwapa Siri zenu Wapinzani wenu hivyo Kuufanya huo Mchezo wenu ambao wenye Akili tumeshajua kuwa mmetolewa kuwa Mgumu.
Hivi siyo nyie tena kupitia Senzo Mbatha Mazingisa mliwasaidia mno Kaizer Chiefs FC kwa Kushirikiana na Msukule wenu ( Msaliti Wetu ) Simba SC walipokuja Tanzania kiasi cha kuwaambia wawe makini na Vyumba kwa Mkapa na Kocha wao Msaidizi pamoja na Wachezaji wao Watatu Weusi mkawapeleka kwa Mganga wenu Mkubwa aliyeko Kigamboni?
Mmeanza na Sisi tunamaliza Kudadeki!!!
Eti leo mnailaumu Simba SC kuwa ndiyo inawasaidia na kuwapa Siri zenu Wapinzani wenu hivyo Kuufanya huo Mchezo wenu ambao wenye Akili tumeshajua kuwa mmetolewa kuwa Mgumu.
Hivi siyo nyie tena kupitia Senzo Mbatha Mazingisa mliwasaidia mno Kaizer Chiefs FC kwa Kushirikiana na Msukule wenu ( Msaliti Wetu ) Simba SC walipokuja Tanzania kiasi cha kuwaambia wawe makini na Vyumba kwa Mkapa na Kocha wao Msaidizi pamoja na Wachezaji wao Watatu Weusi mkawapeleka kwa Mganga wenu Mkubwa aliyeko Kigamboni?
Mmeanza na Sisi tunamaliza Kudadeki!!!