Aliyewaficha waliotengeneza Korona ni nani; Siamini kama dunia imeshindwa kuwatambua wahusika wakati kila kitu kiko wazi!?

Wuhan virology safety laboratory huko China.

Fatilia simulizi ya Habib Anga ya Uhandisi wa binadamu
 
Kwani africa tupo kwenye juhudi zozote kuwatambua hao watu......sisi kila kitu tunaskiliza hao wajamaa wanasema nini then tubebe hicho hicho,
Yaan tunaishi maisha ya kucopy na kupest
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…