James Kasonda
Member
- Apr 2, 2012
- 84
- 49
Watu wengi sana wamewahi kutapeliwa kwa kuuziwa dawa feki za kienyeji kwa gharama kubwa lakini wanalalamikia chini-chini. Kwa kuwa huwa tunajifunza kwa makosa, naomba mtu yeyote aliyewahi kutapeliwa ajitokeze humu janvini kwa faida ya jamii nzima ya Tanzania. Jamani tuungane tuwe kitu kimoja katika kupiga vita utapeli unaozidi kushamiri nchini kwa kasi kubwa. Sio lazima utaje jina la mganga, sema tu ulitapeliwa dawa ya kutibu nini, kama hilo pia ni gumu sema tu mahali ulipotapeliwa mfano: Dar au Songea, Iringa nk. Naanza mimi.
1. Niliuziwa dawa feki ya kushinda mashindano ya mbio Iringa
2. ...
1. Niliuziwa dawa feki ya kushinda mashindano ya mbio Iringa
2. ...