Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna ndugu yangu aliwahi kutumia hiyo huduma, anasema iko poa... GB zinaingia kila mwezi na wewe unalipia kadiri ya mahitaji yakoNimepita huko kwenye ukurasa wao, nikakuta vifurushi vipo hivyo, je huduma ipoje kwa aliyewahi kuitumia njoo utujuze, maana naona kidogo itakuwa nafuu.View attachment 2312979
Wajuzi watueleze vizuri hii ni nini..Nimepita huko kwenye ukurasa wao, nikakuta vifurushi vipo hivyo, je huduma ipoje kwa aliyewahi kuitumia njoo utujuze, maana naona kidogo itakuwa nafuu.View attachment 2312979
Hawajapumguza GB?Mi ndo ninayotumia,Ni huduma nzuri sana,Nina mwaka na zaidi naitumia,kwa elf 30 kwa mwezi napata gb 24, dk 2400( mitandao yote) na sms 500 . Ifikapo trh 1 ya kila mwezi unawekewa bundle yako
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Unapokeaje invoice ? Mimi nilitumia kidogo invoice nikawa sipati kwahiyo siwezi kuclaim reimbursement nikapiga chini.Mi ndo ninayotumia,Ni huduma nzuri sana,Nina mwaka na zaidi naitumia,kwa elf 30 kwa mwezi napata gb 24, dk 2400( mitandao yote) na sms 500 . Ifikapo trh 1 ya kila mwezi unawekewa bundle yako
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Unajiungaje mkuu hebu tupe maelezoMi ndo ninayotumia,Ni huduma nzuri sana,Nina mwaka na zaidi naitumia,kwa elf 30 kwa mwezi napata gb 24, dk 2400( mitandao yote) na sms 500 . Ifikapo trh 1 ya kila mwezi unawekewa bundle yako
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Mi ndo ninayotumia,Ni huduma nzuri sana,Nina mwaka na zaidi naitumia,kwa elf 30 kwa mwezi napata gb 24, dk 2400( mitandao yote) na sms 500 . Ifikapo trh 1 ya kila mwezi unawekewa bundle yako
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Akijibu msisahau kunitagUnajiungaje mkuu hebu tupe maelezo
Kwa sisi wa awali bundle imebaki hivohvo,wa Sasa ndo imepunguzwa Karibu nusu yake hasa kwenye mbHawajapumguza GB?
Unaenda ofisi yoyote ya tigo ukiwa na NIDA au kitambulisho chochote mfano cha kupigia kura au leseni ya udereva,unajaza fomu unachagua bundle kulingana na uwezo wako kiuchumiUnajiungaje mkuu hebu tupe maelezo
Mkuu weka details kidodo tuielewe hii hudumaNaitumia pia huu mwezi wa 4..iko poa sana
Nimejibu hapo post #11Mkuu weka details kidodo tuielewe hii huduma
Ofis 2000 auUnaenda ofisi yoyote ya tigo ukiwa na NIDA au kitambulisho chochote mfano cha kupigia kura au leseni ya udereva,unajaza fomu unachagua bundle kulingana na uwezo wako kiuchumi
Hii imepunguzwaNimepita huko kwenye ukurasa wao, nikakuta vifurushi vipo hivyo, je huduma ipoje kwa aliyewahi kuitumia njoo utujuze, maana naona kidogo itakuwa nafuu.View attachment 2312979
Nimepita huko kwenye ukurasa wao, nikakuta vifurushi vipo hivyo, je huduma ipoje kwa aliyewahi kuitumia njoo utujuze, maana naona kidogo itakuwa nafuu.View attachment 2312979
Achana na Post paid utakuja kulia. Endelea na utaratibu wako wa pre paid. Sitaki kuingia kwa undani lakini nakushauri wacha kabisa hiyo.