Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnaelewekaNimetembelea leo nikakuta mkeka unasimama hiviView attachment 2319231
Uko vizuriNimetembelea leo nikakuta mkeka unasimama hiviView attachment 2319231
Data jumla 15gb + 394 mb ina maana gani mkuu?Mkuu huduma ipo fresh kabisa ingawa wengine tunazimaliza hizo gb24 hata kabla mwezi haujakatisha mfani mimi nimetoka kulipia jana unaweza ukachelewa hata kulipia ila maisha yanakua fresh simu yangu ni full vocha..mimo tangu mwaka jana nabonda tu 30,000
Hio nimeshazitumia tangu tarehe moja maana naangaliaga series online..kwaio ndo zilizobakia kati ya 24GBData jumla 15gb + 394 mb ina maana gani mkuu?
Vp data huwa hawabadilishi?Hio nimeshazitumia tangu tarehe moja maana naangaliaga series online..kwaio ndo zilizobakia kati ya 24GB
Hizi naona zimepungua sababu zilikuaga 30GB halafu sijawahi kuangalia kama zinaongezeka au laa zikiisha huku naweza za voda kuvuta vuta mwezi mwingine uingieVp data huwa hawabadilishi?
Umekaa kimbea zaidiAchana na Post paid utakuja kulia. Endelea na utaratibu wako wa pre paid. Sitaki kuingia kwa undani lakini nakushauri wacha kabisa hiyo.
Vodacom wanahuduma ya postpaid kadi internet wao wapo vizuri maana gb zikiisha inakuwa connected kwa 1mbs mpaka mwezi uishe mm naona vodacom wamefanya vizuri sanaHizi naona zimepungua sababu zilikuaga 30GB halafu sijawahi kuangalia kama zinaongezeka au laa zikiisha huku naweza za voda kuvuta vuta mwezi mwingine uingie
Mkuu hii kifurushi bado kipo? Maana leo asubuhi mhudumu kwenye simu kamtajis hyo kifurushi jion nikapiga mra mbili ili kuuliza ya dakika nashangaa walopokea wote wawili kila moja kantajia kifurushi anojuwq yy kila moja tofauti na mwenzke ss sielewi...hii kifurushi cha offer ulifania nn mpka kuiptaMwezi huu wa 8 kuna ofa ya 30gb kwa 25k
Aaah nimejilipua jana nkaenda tigo shop na National ID leo wameniunga nakula huduma wako vizuri
KipoMkuu hii kifurushi bado kipo? Maana leo asubuhi mhudumu kwenye simu kamtajis hyo kifurushi jion nikapiga mra mbili ili kuuliza ya dakika nashangaa walopokea wote wawili kila moja kantajia kifurushi anojuwq yy kila moja tofauti na mwenzke ss sielewi...hii kifurushi cha offer ulifania nn mpka kuipta