Aliyewahi kutumia modem hii anisaidie

Mgalula MzTz

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
462
Reaction score
421
Nahitaji kutumia modem hii lkn sioni card slot zaidi ya memory card slot.
Kwa anayejua namna ya kuitumia, anisaidie maelekezo, waungwana.

 
Unauhakika hiyo modem? Hiyo ni wif recever inafanya kazi as modem ,pale kunqpokuwa na wif network na dashboard yake unq download unq install kwenye pvlc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…