Iyo ni kazi ya Mwenyezi Mungu,Mwenye kujua huyu mwema ama muovu ni yeye Mwenyezi Mungu na sio sisiR.I.P mkuu wa mkoa wa dar mstaafu, hivi kwa nini viongozi wazuri huwa wanakufa mapema wabovu wanabaki?
Kandoro hakuwaga na majivuno wala siasa takaR.I.P mzee kandoro. Ila kuna la kujifunza hapa Kwa huyu mzee, yaani ccm wengine wakifa page ya kwanza huwa inajaaga washangiliaji Kwa huyu mzee imekuwa tofauti viongozi wengine wa ccm jipangeni
Ilikuaje yakaitwa jina lake ?Duh! Tutamuenzi kwa kunywa maji ya Kandoro.
Umuhimu wake ni kama huo wa kupata taarifa ya kifo,,yaani kujua tuBaadhi huuliza hili swali mgonjwa anapofariki ila umuhimu wake sijapata kuuelewa bado.
Alikua ni mkuu wa mkoa aliyepinga vikali maji ya kwenye plastic bag. Ilikua ni katika kupambana na uchafuzi wa mazingira. Kipindi hicho hayo maji yaliuzika sana kabla ya mkuu huyo wa mkoa kukatazaIlikuaje yakaitwa jina lake ?
Wakati wa utawala wake maji ya viroba yalipigwa marufuku na mkuu wa mkoa, Abbas Kandoro (nakumbuka kitu kama hicho) ila baadaye yakarudi na kubatizwa jina la maji ya Kandoro. By then hata uhai walikuwa na maji ya pact machunguu kama sifongo na yalikuwa yanauzwa Tsh hamsini.Ilikuaje yakaitwa jina lake ?
ApateCha muhimu in kumuombea spate pumziko LA milele Mbinguni
Jamani RC wetu aliyefanya mpaka maji ya vipacket kuitwa Kandoro