Mkuu imebidi niishie kusoma comment tu hadi hapa nilipokutana na yako na kujiuliza ni kandoro huyu aliyeivunja kariakoo gerezani mwaka 2006 vibanda vikiwa na bidhaa hadi watu wakajinyonga au ni yupi?Alikua mkuu wa mkoa katili sana alivunja vibanda vya wamachinga mji mzima, nakuzuia uuzwaji Maji ya mifuko ndipo lilipo toka jina Maji ya kandoro, hakuwa mtu mzuri tuache unafiki
INNA LILLAHI WA INNA ILA RAJIUNImethibitishwa Abass Kandoro hatunaye tena. Source inasema alihamishiwa Hospitali ya Muhimbili mapema leo baada ya hali yake kubadilika katika Hospitali Benjamin Mkapa ya Dodoma.
Kandoro amewahi kuwa katika nafasi ya ukuu wa Mkoa katika zaidi ya Mikoa Sita Tanzania Bara ikiwemo Dar es salaam, Arusha, Mwanza Singida na Mbeya.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipomtembelea Mkuu wa Mkoa Mstaafu, Abbas Kandoro hospitali ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma, Aprili 25, 2018.
R.I.P mkuu wa mkoa wa dar mstaafu, hivi kwa nini viongozi wazuri huwa wanakufa mapema wabovu wanabaki?
Hahahaa,hao viongozi wabovu waliostahili kufa badala ya hao wema ndiyo akina nani?.R.I.P mkuu wa mkoa wa dar mstaafu, hivi kwa nini viongozi wazuri huwa wanakufa mapema wabovu wanabaki?
Hafiki robo ya bashiteAlikua mkuu wa mkoa katili sana alivunja vibanda vya wamachinga mji mzima, nakuzuia uuzwaji Maji ya mifuko ndipo lilipo toka jina Maji ya kandoro, hakuwa mtu mzuri tuache unafiki
Mkuu imebidi niishie kusoma comment tu hadi hapa nilipokutana na yako na kujiuliza ni kandoro huyu aliyeivunja kariakoo gerezani mwaka 2006 vibanda vikiwa na bidhaa hadi watu wakajinyonga au ni yupi?
Kwa kweli kusema alikuwa mwema dah Mungu aamue mwenyewe ila kuna watu walirudi kuwa maskini hadi leo pale kariakoo nilikuwepo wakati huo ni moja kati ya kumbukumbu mbaya kabisa kwa wamachinga
Mkuu watanzania tuna unafiki wa kiwango cha juu. Wengi walikuwa hawaja anza michakato hivyo hawamjui. Huyu alioko anasaka kiki lakini sijaona akileta madhara kama kandolo. Kandolo greda zinavunja saa 11 alfajili tunakuta watu wamegawana bidhaa zetu. Eti leo alikua mtu mwema? Hata mwanza aliacha lisasi imekwama mgongoni mwa machinga pale kamanga ana mke na watoto wawili kalala hawezi kujigeuza hana hela ya osptl. Hakua kiongozi alibebwa Na mkwere kama meky sadikMkuu imebidi niishie kusoma comment tu hadi hapa nilipokutana na yako na kujiuliza ni kandoro huyu aliyeivunja kariakoo gerezani mwaka 2006 vibanda vikiwa na bidhaa hadi watu wakajinyonga au ni yupi?
Kwa kweli kusema alikuwa mwema dah Mungu aamue mwenyewe ila kuna watu walirudi kuwa maskini hadi leo pale kariakoo nilikuwepo wakati huo ni moja kati ya kumbukumbu mbaya kabisa kwa wamachinga
Inaonekana wengi mlikuwa watoto alikua katili na kaharibu masha ya watu.Huyo makonda sijaona madhara yake kama ilivyo kwa kandolo, ic cleam ilikua mama zetu hawafungi.walala hoi tukalazimishwa kunywa maji ya chupa, wengi mlikua shule watu wamejinyonga sababu ya mtu huyu.Hafiki robo ya bashite
Pamoja na hayo yote hajamfikia bashiteInaonekana wengi mlikuwa watoto alikua katili na kaharibu masha ya watu.Huyo makonda sijaona madhara yake kama ilivyo kwa kandolo, ic cleam ilikua mama zetu hawafungi.walala hoi tukalazimishwa kunywa maji ya chupa, wengi mlikua shule watu wamejinyonga sababu ya mtu huyu.