TANZIA Aliyewahi kuwa mkuu wa mikoa mbalimbali nchini, Abass Kandoro afariki dunia Hospitali ya Taifa, Muhimbili

Alikua mkuu wa mkoa katili sana alivunja vibanda vya wamachinga mji mzima, nakuzuia uuzwaji Maji ya mifuko ndipo lilipo toka jina Maji ya kandoro, hakuwa mtu mzuri tuache unafiki
Mkuu imebidi niishie kusoma comment tu hadi hapa nilipokutana na yako na kujiuliza ni kandoro huyu aliyeivunja kariakoo gerezani mwaka 2006 vibanda vikiwa na bidhaa hadi watu wakajinyonga au ni yupi?
Kwa kweli kusema alikuwa mwema dah Mungu aamue mwenyewe ila kuna watu walirudi kuwa maskini hadi leo pale kariakoo nilikuwepo wakati huo ni moja kati ya kumbukumbu mbaya kabisa kwa wamachinga
 
R.I.P Mzee kandoro siku hizi kuna wakuu wa mikoa viburi.Mfano BASHITE na anasema DSM Mkoa wake wakati katoka kwao KOLOMIJE .
 
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi. Amina.
 
INNA LILLAHI WA INNA ILA RAJIUN
 
R.I.P mkuu wa mkoa wa dar mstaafu, hivi kwa nini viongozi wazuri huwa wanakufa mapema wabovu wanabaki?
Hahahaa,hao viongozi wabovu waliostahili kufa badala ya hao wema ndiyo akina nani?.
Apumzike kwa amani.
 
Pumzika kwa amani mzee Kandoro

Mrithi wako haamini katika kifo!
 
Mkuu watanzania tuna unafiki wa kiwango cha juu. Wengi walikuwa hawaja anza michakato hivyo hawamjui. Huyu alioko anasaka kiki lakini sijaona akileta madhara kama kandolo. Kandolo greda zinavunja saa 11 alfajili tunakuta watu wamegawana bidhaa zetu. Eti leo alikua mtu mwema? Hata mwanza aliacha lisasi imekwama mgongoni mwa machinga pale kamanga ana mke na watoto wawili kalala hawezi kujigeuza hana hela ya osptl. Hakua kiongozi alibebwa Na mkwere kama meky sadik
 
RIP MZEE. Ana binti yake lawyer ana tako Masogange haoni ndani. "Si vibaya hata katikati ya msiba kuwa na story za kupunguza machungu"
 
Pamoja na hayo yote hajamfikia bashite
 
Mungu,mwenye enzi baba wa rehema ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.
 
...vifo kama hivi ni reminder kwa watawala kuwa kuna kufa....hakuna aishie milele...na hivyo tuache kutishana.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…