Jamaa alisingiziwa mambo mengi sanaUmemkumbuka jinsi enzi zake walivyotekwa kina Mo, Roma nk
Mpango wa ccm katika kuvuruga siasa za mfumo wa vyama vingiAcheni kuhamisha magoli. Kule NCCR kuna genge linamtoa Mbatia kwenye Uongozi kwa figisu na kuna moto unawaka chamani. Huyu mtu amepotea tangu alipoenda Kisutu kwenye kesi ya kumng'oa Mbatia madarakani. Hebu unganishen dots.
Halafu hivi vyama vyetu vinaua makada wake vinasingizia wasiojulikana.
CHACHA WANGWE alitaka kumtoa MBOWE uenyekiti yuko wapi? Na yule kijana wa Kichagga MALYA aliyetekeleza mauaji mkampa Cheo.
Je, Mlinzi wa Mbowe aliyenyongwa gest pale Temeke?
Tuache porojo kuna facts zikiwekwa hapa hata hao kina JPM mnaowasikizia mtawaona malaika.
RIP Mhe.Mtikila
Dahhh!!hadi nimepata ganzi.. walichomfanya sio poaaBila shaka hawajampa za Dokta Ully
View attachment 2503773
Kuna kurasa ukipekua wakabaini inaenda kuwa hatari kwao jiandae kuugua.Dahhh!!hadi nimepata ganzi.. walichomfanya sio poaa
Kuna watu wana roho mbaya hadi basi.. Saa ingine unawaza how why ufanye yote hayo..Kuna kurasa ukipekua wakabaini inaenda kuwa hatari kwao jiandae kuugua.
Watu kwenye viroba wanaokotwa Kama kawa.Kuna watu wana roho mbaya hadi basi.. Saa ingine unawaza how why ufanye yote hayo..
Mkuu tuwaulize wenyeweHaya majambo ya kutekana bado yapo jamani
hate magufuli hatersMuasisi
Vipi Dr Ulimboka alipookotwa Magwepande alikuwa yule jamaa pia anahusika? 😀 😀Watu wake bado wanatekeleza maagizo yake
Wewe hujui kitu! Wakati Dr Ulimboka anatekwa ulikuwa utawala gani vile? Kwa hiyo kila ubaya mnajificha kwenye kivuli cha JPM! Mkosoeni Samia!Muasisi
Angekuwa yule jamaa mngesema yeye! Wabongo wanafiki sana!Huo ni uhuni ndani ya chama.
CCM na Samia hawahusiki
Wanaotekeleza huo uhuni ni sukuma gang kwa kushirikiana na 30 .. chadema haijawahi kuua mtu Wala kumteka mtu .. koma weye [emoji1787][emoji1787]Acheni kuhamisha magoli. Kule NCCR kuna genge linamtoa Mbatia kwenye Uongozi kwa figisu na kuna moto unawaka chamani. Huyu mtu amepotea tangu alipoenda Kisutu kwenye kesi ya kumng'oa Mbatia madarakani. Hebu unganishen dots.
Halafu hivi vyama vyetu vinaua makada wake vinasingizia wasiojulikana.
CHACHA WANGWE alitaka kumtoa MBOWE uenyekiti yuko wapi? Na yule kijana wa Kichagga MALYA aliyetekeleza mauaji mkampa Cheo.
Je, Mlinzi wa Mbowe aliyenyongwa gest pale Temeke?
Tuache porojo kuna facts zikiwekwa hapa hata hao kina JPM mnaowasikizia mtawaona malaika.
RIP Mhe.Mtikila
Enzi za Jiwe watekaji walikuwa wakipongezana bar jioni.Angekuwa yule jamaa mngesema yeye! Wabongo wanafiki sana!