Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Vijana NCCR Mageuzi aliyeripotiwa kupotea aokotwa Porini akiwa Mahututi

Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Vijana NCCR Mageuzi aliyeripotiwa kupotea aokotwa Porini akiwa Mahututi

Utamtetea sana huyo muuaji lakini Mungu ameshapitisha hukumu yake na wote wapenda haki na amani tumefurahi
Unaona namtetea kwa sababu ninyi kwa kuongozwa na hisia za chuki mmekuwa kama mmeweukwa linapokuja suala la Magufuli. Mnataka kutuaminisha kwamba Tanzania ilikuwa shwari hakuna kutekana, kutesana na kuuwana ila hadi alipoingia Magufuli wakati akina Dr. Ulimboka walitekwa na kuteswa kwa nia ya kuuliwa ila siku zake hazikufika kama Lissu, huko Zanzibar washauliwa sana watu hadi watu wakapakimbia, wapinzani washapitia mateso sana tu huko nyuma washapigwa hadi mabomu watu wakafa kuna watu hadi leo ni walemavu kabisa, hao polisi washatesa na kuuwa sana raia huko nyuma. Walikuwepo akina Mtikila na wakanyamazishwa.

Sasa tukiongea haya tunaonekana tunamtetea Magufuli kwamba hamtaki kuyasikia hayo bali nyie mnataka wote tuungane kumchukia Magufuli na kuaminishana kwamba Tanzania ilikuwa shwari kila kitu ila tatizo Magufuli alikuja kuharibu kila kitu, imefika hatua hadi leo Kikwete na Kinana wanaonekana ni watu wema(sijajua wema huo ni hadi mbele za Mungu au kwa binaadamu tu?) na ndio maana hawajafa wako hai.
 
Magu hakuwa muasisi, la hasha, yeye alikuwa KONKI
Kwa ukonki upi? Nachojua alikuwa anahusishwa kwa kila baya, hadi wanawake wote aliyokuwa anawateuwa alikuwa anaambiwa katembea nao, yani kwa kifupi hakuna baya lililoachwa kwake.
 
Unaona namtetea kwa sababu ninyi kwa kuongozwa na hisia za chuki mmekuwa kama mmeweukwa linapokuja suala la Magufuli. Mnataka kutuaminisha kwamba Tanzania ilikuwa shwari hakuna kutekana, kutesana na kuuwana ila hadi alipoingia Magufuli wakati akina Dr. Ulimboka walitekwa na kuteswa kwa nia ya kuuliwa ila siku zake hazikufika kama Lissu, huko Zanzibar washauliwa sana watu hadi watu wakapakimbia, wapinzani washapitia mateso sana tu huko nyuma washapigwa hadi mabomu watu wakafa kuna watu hadi leo ni walemavu kabisa, hao polisi washatesa na kuuwa sana raia huko nyuma. Walikuwepo akina Mtikila na wakanyamazishwa.

Sasa tukiongea haya tunaonekana tunamtetea Magufuli kwamba hamtaki kuyasikia hayo bali nyie mnataka wote tuungane kumchukia Magufuli na kuaminishana kwamba Tanzania ilikuwa shwari kila kitu ila tatizo Magufuli alikuja kuharibu kila kitu, imefika hatua hadi leo Kikwete na Kinana wanaonekana ni watu wema(sijajua wema huo ni hadi mbele za Mungu au kwa binaadamu tu?) na ndio maana hawajafa wako hai.
Hatumchukii Magufuli bali tunachukia uovu wake. Tunamshukuru Mungu muumba wa mbingu na nchi kutuondolea hii laana.
 
Hatumchukii Magufuli bali tunachukia uovu wake. Tunamshukuru Mungu muumba wa mbingu na nchi kutuondolea hii laana.
Huo uwovu wa Magufuli si uovu mpya Tanzania ila hatujawahi kuona mkichukia uovu wa Kikwete aliyomfanyia Ulimboka kama mnavyochukia uovu wa Magufuli kumfanyia Lissu. Ndio kwanza mnamwita kuwa ni mtu mwema na ndio maana hajafa yupo hai hadi sasa.

Maana yake nyinyi hamchukii maovu ya Magufuli kwa sababu hamna utamaduni wa kuchukia maovu, nyinyi mnachukia Magufuli na hayo maovu mnayataja tu kwa sababu ya chuki zenu. Mgekuwa mnachukia maovu msingetaka kufanya ionekane kwamba Tanzania ilikuwa shwari tu haina maovu ila maovu kayaleta Magufuli, hivi upinzani ungepigwa bomu kipindi cha Magufuli kama ilivyotokea kwa Kikwete unadhani ingekuaje?
 
Huo uwovu wa Magufuli si uovu mpya Tanzania ila hatujawahi kuona mkichukia uovu wa Kikwete aliyomfanyia Ulimboka kama mnavyochukia uovu wa Magufuli kumfanyia Lissu. Ndio kwanza mnamwita kuwa ni mtu mwema na ndio maana hajafa yupo hai hadi sasa.

Maana yake nyinyi hamchukii maovu ya Magufuli kwa sababu hamna utamaduni wa kuchukia maovu, nyinyi mnachukia Magufuli na hayo maovu mnayataja tu kwa sababu ya chuki zenu. Mgekuwa mnachukia maovu msingetaka kufanya ionekane kwamba Tanzania ilikuwa shwari tu haina maovu ila maovu kayaleta Magufuli, hivi upinzani ungepigwa bomu kipindi cha Magufuli kama ilivyotokea kwa Kikwete unadhani ingekuaje?
Bora Corona ilivyomfyekelea mbali
 
Haya ruksa kamuwajibishe sasa. Tatizo tunaposema kuwa tunahitaji Katiba Mpya nyie mnabeza kuwa hilo takwa la Chadema wala siyo la Watanzania,mnasema wananchi wanataka barabara,shule na hospital,sasa niambie kwa Katiba hii ambayo inampa Rais mamlaka ya umungumtu unawezaje kumuwajibisha Samia? Tukubali kwamba tunahitaji Katiba Mpya ambayo itawapa wananchi kupitia wawakilishi wao yaani Bunge mamlaka ya kuisimamia Serikali na kumuwajibisha Rais. Japo Katiba iliyopo inatamka uwezo huo wa Bunge lakini kiuhalisia muundo wa Bunge lenyewe la CCM tupu unalinyang'anya hilo Bunge uwezo huo kwani wabunge wa CCM wakikaa kama kamati wanalazimishwa kuwa upande wa Serikali muda wote wawapo Bungeni ambaye hawezi kutii agizo hilo arudishe kadi ya CCM kwa maana ya kuacha ubunge.
 
Unaona namtetea kwa sababu ninyi kwa kuongozwa na hisia za chuki mmekuwa kama mmeweukwa linapokuja suala la Magufuli. Mnataka kutuaminisha kwamba Tanzania ilikuwa shwari hakuna kutekana, kutesana na kuuwana ila hadi alipoingia Magufuli wakati akina Dr. Ulimboka walitekwa na kuteswa kwa nia ya kuuliwa ila siku zake hazikufika kama Lissu, huko Zanzibar washauliwa sana watu hadi watu wakapakimbia, wapinzani washapitia mateso sana tu huko nyuma washapigwa hadi mabomu watu wakafa kuna watu hadi leo ni walemavu kabisa, hao polisi washatesa na kuuwa sana raia huko nyuma. Walikuwepo akina Mtikila na wakanyamazishwa.

Sasa tukiongea haya tunaonekana tunamtetea Magufuli kwamba hamtaki kuyasikia hayo bali nyie mnataka wote tuungane kumchukia Magufuli na kuaminishana kwamba Tanzania ilikuwa shwari kila kitu ila tatizo Magufuli alikuja kuharibu kila kitu, imefika hatua hadi leo Kikwete na Kinana wanaonekana ni watu wema(sijajua wema huo ni hadi mbele za Mungu au kwa binaadamu tu?) na ndio maana hawajafa wako hai.
Hakika mtu yule alikuwa mwovu sana
 
Hakika mtu yule alikuwa mwovu sana
Kipi kinafanya mshughulike na mtu aliyekufa ila hali uovu bado unaendelea kutendeka na kiongozi aliyepo hafanyi kitu? Hebu nipe sababu za msingi kwa nini mtujadili Magufuli aliyekufariki wakati bado tunaendelea kusababishiwa matukio yaleyale na kiongozi aliyepo sasa?
 
Kipi kinafanya mshughulike na mtu aliyekufa ila hali uovu bado unaendelea kutendeka na kiongozi aliyepo hafanyi kitu? Hebu nipe sababu za msingi kwa nini mtujadili Magufuli aliyekufariki wakati bado tunaendelea kusababishiwa matukio yaleyale na kiongozi aliyepo sasa?
Mizizi aliyoacha na si kingine.
 
Back
Top Bottom