Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
Hujui kitu wewe kapuku , fuatilia dereva wa Wangwe alikoishia , siyo unaleta uongo humu , Mnafiki mkubwa wee !!Nimekwambia anza kutumia dozi ya akili unarukaruka tu utadhan maharage yako jikoni. Siku ukiminywa na hao unajifanya chawa wao ndio utaelewa na muda utakua ushapita.
Si mlisema yameisha sababu mtu flani kafa?sasa unamuuliza nani tena?Haya majambo ya kutekana bado yapo jamani
Mbezi beach yenyewe huko kuna mtu katenganishwa kichwa na kiwiliwiliNa huo ndo ukweli sema watu siku hizi wanapenda kujifanyisha kusahau kana kwamba matukio hayakuwepo kabisa yalianza awamu ya tano na sita! Kikwete mwenyewe Dr Ulimboka alitekwa!
Sasa hivi wanakwambia yule jamaa ndio aliyeanzisha kutekana Tanzania.Angekuwa yule jamaa mngesema yeye! Wabongo wanafiki sana!
Tunajua mkuu ila tunasema hivyo ili tu Magufuli aonekane kiongozi mbaya kuliko wote.Mambo ya kutekana hayajaanza leo wala jana
Haya mambo yatakuwepo na kuendelea kuwepo
Ova
Samia ni katika watu wema wasiokufa akiwa pamoja na Kikwete na Kinana.Unaushahidi alikuwa anaagiza na Samia haagizi?
Kutekana,kupigana risasi nkTunajua mkuu ila tunasema hivyo ili tu Magufuli aonekane kiongozi mbaya kuliko wote.
matatizo ya chamani nccr yaliishaga?Huyu kijana anaitwa Clinton, na kulikuwa na taarifa humu siku chache zilizopita kwamba amepotea na hajulikani alipo.
Taarifa za sasa zinaonyesha kwamba amepatikana akiwa hoi bin Taaban huko porini alikotupwa .
Taarifa zaidi zinakuja
Huyo yuko upande wa Mbatia hivyo dhahiri hii ni handwork ya Selasini na wale waliomsaidia kufanya haya mapinduziHebu muulizeni mbatia
Alikuwa mwovu sanaTunajua mkuu ila tunasema hivyo ili tu Magufuli aonekane kiongozi mbaya kuliko wote.
Vijana wa chadema ni wajinga. Toka enzi za mwinyi watu wanatekwa na wanauliwa. Ukitaka nchi ambayo hakuna haya labda ukaishi VaticanKutekana,kupigana risasi nk
Kwenye mambo mfumo wa kinchi
Ni kawaida tu duniani
Ova
Je, wewe ni muovu kidogo au katika watu wema wasiokufa kama Kikwete na Kinana?Alikuwa mwovu sana
Hii I'd ulifungua sababu ya hii kazi? Hizi kazi wenzenu wanachukua mpunga mrefu Ila nyie mnaishia kupiga miayoAlikuwa mwovu sana
Sasa mbona umekasirika?Hujui kitu wewe kapuku , fuatilia dereva wa Wangwe alikoishia , siyo unaleta uongo humu , Mnafiki mkubwa wee !!
Wasije wakasema alikamatwa ugoni na mke wa mtu, Pole Clinton hii ni Tanzania yetu.Huyu kijana anaitwa Clinton, na kulikuwa na taarifa humu siku chache zilizopita kwamba amepotea na hajulikani alipo.
Taarifa za sasa zinaonyesha kwamba amepatikana akiwa hoi bin Taaban huko porini alikotupwa .
Taarifa zaidi zinakuja
Vijana wa chadema ni wajinga. Toka enzi za mwinyi watu wanatekwa na wanauliwa. Ukitaka nchi ambayo hakuna haya labda ukaishi Vatican
Walisema haya matukio yamekoma March 2021Huyu kijana anaitwa Clinton, na kulikuwa na taarifa humu siku chache zilizopita kwamba amepotea na hajulikani alipo.
Taarifa za sasa zinaonyesha kwamba amepatikana akiwa hoi bin Taaban huko porini alikotupwa .
Taarifa zaidi zinakuja