Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #81
Sasa subiri atekwe mamaako , halafu tukusikie ukitoa povu humuVijana wa chadema ni wajinga. Toka enzi za mwinyi watu wanatekwa na wanauliwa. Ukitaka nchi ambayo hakuna haya labda ukaishi Vatican
Muasisi
Wanajiteka wenyewe nani awe na interest na mtu amabaye hajulikani hata kwenye kitongoji chakeHaya majambo ya kutekana bado yapo jamani
Wewe wasemaJe, wewe ni muovu kidogo au katika watu wema wasiokufa kama Kikwete na Kinana?
Ya wangwe ilikua handwork ya nani!?Huyo yuko upande wa Mbatia hivyo dhahiri hii ni handwork ya Selasini na wale waliomsaidia kufanya haya mapinduzi
Hajawahi kutoa maelekezo hayoKama Magufuli wakati wake hakufanya hayo matendo kwa mkono wake lakini akalaumiwa, kwanini huyu wa sasa nae asilaumiwe?
CCM na tissYa wangwe ilikua handwork ya nani!?
Hajawahi kutoa maelekezo hayo wala Hana roho ya kiuaji kama yule Mhutu
Wangwe alitaka kumtoa mwenyekiti kwenye nafasi yake, TISS inaingiaje hapo!!?..mwingine alipotamani kiti akaonywa sumu haionjwiCCM na tiss
Unadandia gari kwa mbele. Ukiona mauaji yanatokea halafu dola haifanyi lolote ujue hiyo ni kesi ya ngedere hakimu kima.Wangwe alitaka kumtoa mwenyekiti kwenye nafasi yake, TISS inaingiaje hapo!!?..mwingine alipotamani kiti akaonywa sumu haionjwi
Mama yangu kaingiaje hapa? Kwa nn usimtolee mfano pumbalu au Joyce mukyaSasa subiri atekwe mamaako , halafu tukusikie ukitoa povu humu
Samia kasema amemwaga chawa wake mtaani, ukiwaudhi yatakayokukuta asiulizweRIP saanaaaa Magufuli bado jamaa zako wanaendeleza yale mabaya uliyoacha
Samia kasema amemwaga chawa wake mtaani, ukiwaudhi yatakayokukuta asiulizweHuyu kijana anaitwa Clinton, na kulikuwa na taarifa humu siku chache zilizopita kwamba amepotea na hajulikani alipo.
Taarifa za sasa zinaonyesha kwamba amepatikana akiwa hoi bin Taaban huko porini alikotupwa .
Taarifa zaidi zinakuja
Chama kimeshikwa na 30 huyo wanasema ni chawa wa aliyeshikwa mkono na mzee wa KirarachaHuyu kijana anaitwa Clinton, na kulikuwa na taarifa humu siku chache zilizopita kwamba amepotea na hajulikani alipo.
Taarifa za sasa zinaonyesha kwamba amepatikana akiwa hoi bin Taaban huko porini alikotupwa .
Taarifa zaidi zinakuja
Ya Mungu mengiYa wangwe ilikua handwork ya nani!?
Hivi 30 baada ya kutoka CHADEMA hapo NCCR alikaribishwa na nani?matatizo ya chamani nccr yaliishaga?
Mwamba anapumzikaJamaa alisingiziwa mambo mengi sana
Sasa hapo ufipa st uchaguzi ndio huo umekaribia, TAL ataonja sumu?
Endelea tu kufurahia uhalifu , Shetani hana rafiki .Mama yangu kaingiaje hapa? Kwa nn usimtolee mfano pumbalu au Joyce mukya
Ulaaniwe Jiwe huko uliko motoni johnthebaptistHuyu kijana anaitwa Clinton, na kulikuwa na taarifa humu siku chache zilizopita kwamba amepotea na hajulikani alipo.
Taarifa za sasa zinaonyesha kwamba amepatikana akiwa hoi bin Taaban huko porini alikotupwa .
Taarifa zaidi zinakuja