Aliyewahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia Nchini Kenya Margaret Nyambura amekataa uteuzi wa Rais Ruto wa kuwa balozi wa Kenya nchini Ghana

Aliyewahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia Nchini Kenya Margaret Nyambura amekataa uteuzi wa Rais Ruto wa kuwa balozi wa Kenya nchini Ghana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia Nchini Kenya Margaret Nyambura amekataa uteuzi wa Rais wa William Ruto wa kuwa balozi wa Kenya nchini Ghana.

Rais Ruto alimteuwa Novemba 19, 2024. Nyambura ametaja sababu binafsi za kukataa uteuzi huo hivyo kusema hatafika Bungeni kwa ajili ya kuhojiwa kama ilivyo desturi.

Chanzo Taarifa: manaratv

Angeteuliwa wa nchi fulani Kwanza angeshukuru kwa Kukufuru Siku nzima kisha angeomba hata aende Ikulu ili akamlambe Miguu na Dela / Suruali yule Aliyemteua.
 
Duh! Hii ID ilipotea sana humu, mambo mengi yametokea lakini haikuanzisha uzi wala kukomenti, nilidhani imekula ban ya kushiba
 
Alikua mjinga yule!hakutumia akili kabisa yule no zwa zwa!!

Utakataaje uteuzi wa Raise halafu wewe sio mwanasiasa na ulipo hutendi haki zaidi ya kuwanyonya walimu!

Yule alikuwa fala,tena ilitakiwa wamteke wakamkill kabisa zuzu yule, we unashindana na mamlaka utaweza!!
nyie pia ni wajinga na mafala
 
Umewaza hadi kifo dhidi yake!
Hatari sana
Hakuna ueledi wowote pale Cwt Hadi ukatae teuzi ya Rais!

Pale ni kichaka Cha upigaji hakuna kitu mule!unakataaje teuzi na unajua fika upo kwenye genge la wezi!!?

Cwt ujinga mwingi sana mule!
 
Jamaa hakuwa anajielewa,sasaivi yupo wapi sasa? labda kama alivuna ukwasi wakutosha
Mi naona alikuwa anajielewa sio Kila unachopewa lazima upokee
Masinia mengine yamebeba kichwa Cha Yakobo
 
Duh! Hii ID ilipotea sana humu, mambo mengi yametokea lakini haikuanzisha uzi wala kukomenti, nilidhani imekula ban ya kushiba
Uliona ID yangu ikiwa BAN kwa Kipindi chote ambacho GENTAMYCINE nilikuwa sichangii humu? Ujuha ni dhambi Kubwa.
 
Uliona ID yangu ikiwa BAN kwa Kipindi chote ambacho GENTAMYCINE nilikuwa sichangii humu? Ujuha ni dhambi Kubwa.
sio kwa nia mbaya, mimi nikiwa kama msomaji wako mwandamizi nilikumisi sana. Sikuona michango yako humu
 
Back
Top Bottom