Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Kweli kabisa,kama Lionchawene alirudishwa akapewa muungano na baadae mambo ya ndani,basi huwa wanaangalia mwenye afadhali ila siyo bora
Naamini wapo ila tatizo ni waandishi wenye maswali ya sampuli ile na Media za kurusha vipindi vya kivile!. Media za siku hizi ni mwendo wa kusifu, sifa na mapambio.
P
Kumbe yule dada mwenye kizungu chake alikuwa mtoto wa huyu? R.I.P mzee Simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiafrika mtu akiishatangulia mbele ya haki, anazungumzwa kwa mema tuu, na sio mambo ya kutiririka, huyu ni public figure hivyo official history yake ni public sio ya kutiririkiwa.Mkuu Pascal naomba utiririke japo historia fupi ya ndugu yetu Mzee Simba naona baadhi ya comments ni ngumu kumesa
Duh! R.I.P. Huyu Mzee kweli alipotea kwa muda mrefu kidogo!
Huku akipiga mpunga kwny Simba Tanks.
Sawa pia nakubaliana na wewe ila napata shida kidogo kwa nn baadhi wamesahau huo utaratibu katika hili.Kiafrika mtu akiishatangulia mbele ya haki, anazungumzwa kwa mema tuu, na sio mambo ya kutiririka, huyu ni public figure hivyo official history yake ni public sio ya kutiririkiwa.
Innalillah wainna ilaihi rajiun
P
"Dunia sasa imani imekwisha,Sawa pia nakubaliana na wewe ila napata shida kidogo kwa nn baadhi wamesahau huo utaratibu katika hili.
Nami nasema Innalillahi wainna ilaihi rajiun
Sijajua Kama yupo channel Ten. Sijaangalia TV Channels za Tanzania tokea Msiba wa Mzee Reginald Mengi
We umejiweka pembeni?Naamini wapo ila tatizo ni waandishi wenye maswali ya sampuli ile na Media za kurusha vipindi vya kivile!. Media za siku hizi ni mwendo wa kusifu, sifa na mapambio.
P
Iddi Simba ni mmoja wa mawaziri Bold wa Mkapa ambaye alikubali kukalia "Kiti Moto" kuhojiwa. Mawaziri wengine wengi walikogopa kama kituo cha polisi.
Na wakati akiongea alikuwa very confident na authoritative commanding tone.
Innalillah wainna ilaihi rajiun
P
HII n´diyo JF, ukikosea au ukijifanya mjuaji unapewa za uso hapohapo. Huyo YEHODAYA, naamini harudiii tena kubishia maandiko. Kulala kupo, na kuamka kupo. Marehemu ametoa mchango kwa taifa ikiwemo kuwasaidia wajasiriamali kupitia mikopo ya PRIDEKupumzika kupo aisee.
View attachment 1356268
Hicho kikundi cha Freemason kinapatikana Dar tu au... Na nikitaka kuonana nao naanzia wapi yaani ofisi zao ziko wapi nataka kupata majibu ya maswali fulani hivi yanayowahusuPole Sana, Sauda Kilumanga Simba. Mtoto wa Idd Simba na pia Huyu mdada ni kiongozi wa Freemasons Tanzania na Africa mashariki
Sent using Jamii Forums mobile app