Kila kitu kilienda kama kilivyo kua kimepangwa mpaka pale mama moja lie zalishwa na bwana harusi alivo leta mtoto wa bwana harusi kama zawadi ya harusi kwa bibi na buana harusi.
Wanawake wengi kujilegeza kwa wanaume wa wazalishe ili wa olewe, ila wengi kugonga mwamba na kubaki kama singo maza. Wanaume wengi hawako tayari kuoa singo maza hata kama mtoto ni wakwake, acheni kupokea mimba bila ndoa.
Wanawake wengi kujilegeza kwa wanaume wa wazalishe ili wa olewe, ila wengi kugonga mwamba na kubaki kama singo maza. Wanaume wengi hawako tayari kuoa singo maza hata kama mtoto ni wakwake, acheni kupokea mimba bila ndoa.