Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au akisikia mwanamke mwenzake akiharibikiwa ndoa yake raha yake wafanane hali.Uko sahihi kabisa hasa hapo kwa bold, kwanza wengi huwa furaha yao ni kuona lolote baya likimkuta mwanaume.
Mkuu na wewe ni single mama nini?Ndo mambo ayo single mama oyeee 😹
Mie Namkubali Sana To yeyeWanao msema vibaya nawachukia huyu Dada ni mstaarabu fulani ina hulka ya upole.
Wanani motivate wanawake wenzangu aoMkuu na wewe ni single mama?
Maana ulivyoshangilia!
Hahahaha hilo nalijua RafikiPamoja sana Kamanda,ila hutakiwi kustaajabu mkuu... negative na positive ni sehemu ya maisha ya mwanadamu 🤣🤣😉