Aliyezuia mechi ya Simba na Yanga kuchezwa awajibike mwenyewe!

Huna akili.....
 
Kweli kabisa mkuu.
 
we una msongo. maisha hayako hivyo. usijitaabishe sana kias hiki. hujatumwa kitu dunian! nadhan utauliza na muda wa watu kupata watoto unatoka wap!
 
Jifunze sasa kuelewa nasio kusoma tu.Ili litakusaidia sana..
Apa kuna msiba ila watu apa msibani waleta vinywaji,wanakula nyama,mziki unapigwa nk
Vipi nao wapo wanafuraia huyu mtu kufariki Dunia?
 
Mwendazake yupi

Yule watu waliokuwa wanapotea na hasemi chochote?

Au yule wasiojulikana wakitesa na kuuwa na alikua asemi kitu?

Au mwendazake yupi
 
Rejea 2007/2008 kama sikosei Lowasa alipojiuzulu. Hapa ishu ilikuwa ni mgeni rasmi kutoka hukooo!!
 
Wewe si ukalime uje uwauzie Chakula upate pesa?......Wanaangalia Mpira lakini kula kuko pale pale.
 
Maisha yenyewe mafupi acha watu wajipe raha. Mtu amesafiri kwa ndege kwenda na kurudi toka Mbeya unadhani anabangaiza maisha?
 
Kweli mkuu, kuna mijitu mijinga sana Tz, yaani Rais aache kujishughulisha na akina Biden, Putin, Kiwete, Jinping, Gas, Umeme, Bandari aanze kudeal na akina Manara na Mwakalebela, wengine wameanza kusema bora angekuwepo Jiwe (Kisa Simba na Yanga)! Kuna watu hata hawajui wanataka nini maishani, CCM endeleeni kuwaburuza mbululaz hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…