Aliyezuia mechi ya Simba na Yanga kuchezwa awajibike mwenyewe!

Aliyezuia mechi ya Simba na Yanga kuchezwa awajibike mwenyewe!

ALIYEZUIA?

Haijazuiwa mechi ila ilisogezwa mbele kukiwa na sababu zao wanasiasa, moja ni uzinduzi wa kitabu, hapo nani apigwe mawe?
Basis wangekuja kuindulia uwanjani kama ni hivyo
 
Yeye kama amiri jeshi na kiongozi wa nchi awezi kukwepa lawama, hapo ndio lazima tumkumbuke hayati angeweka sawa viongozi wa timu zote halafu ange deal walioaribu wote kuanzia wizarani hadi TFF.

Tunachukulia poa kwasababu watanzania ni watu wenye busara ingekuwa nchi nyingine kiwanjani pale pangechimbika na uharibufu mkubwa na fujo zingetokea.

Unafikiri mama angewapigia viongozi wa timu zote kurudisha timu uwanjani wangegomea?
Jiwe keshajifia
 
Naona mnapepesa macho tu, mmempa wenyewe kichwa.
Anawazoom tu mamlka yote anayo mtamfanya nn
Yeye ndiye rais wa JMT hata kama hutaki inabidi ukubali tu moyoni
 
Watanzania mnapenda sana anasa na uwezo hamna. Huo muda wa kwenda uwanjani na kuangalia mpira mnautoa wapi? Tunapitia wakati mgumu kiuchumi and time is money.

Unaweza kusafiri nchini kilomita 500 ukakutana na mapori yasiyoendelezwa halafu mnakusanyika uwanjani kuangalia mpira.
Una mawazo na akili za kikuda sana wewe.
 
Ingevumilika kama wangeelezea angalau sababu. Hii ni dharau tupu ya watu 70,000+ 16,000,000 waliokuwa watege sikio na macho.
Yaelekea mheshimiwa mmoja aliyeko kwenye book launch hakutaka kukosa mechi akatoa 'instructions from above' a la banana republic!
 
Ni ubinafsi uliopitiliza kuharibu burudani ya watanzania inayotokea Mara mbili kwa mwaka kwa sababu ya kitabu chenye kurasa 349. Kwani kila watu wangeendelea na ratiba zao, mngepungukiwa Nini? Tatizo mnalazimisha attention.
 
Yeye kama amiri jeshi na kiongozi wa nchi awezi kukwepa lawama, hapo ndio lazima tumkumbuke hayati angeweka sawa viongozi wa timu zote halafu ange deal walioaribu wote kuanzia wizarani hadi TFF.

Tunachukulia poa kwasababu watanzania ni watu wenye busara ingekuwa nchi nyingine kiwanjani pale pangechimbika na uharibufu mkubwa na fujo zingetokea.

Unafikiri mama angewapigia viongozi wa timu zote kurudisha timu uwanjani wangegomea?
Kakosa nini Rais wetu hata awajibike kama Rais?

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
 
Kakosa nini Rais wetu hata awajibike kama Rais?

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Kwa wale watu waliotapeliwa pale uwanjani halafu wangeamua pachimbike unafikiri uharibifu kiasi gani ungefanyika?

Nchi kama vile haina kiongozi wa juu, au hujui kuna watu wametoka Zambia, kigoma kwa miguu, mikoani halafu wizara na TFF
 
Kumbuka kua dini ya Kiislam muda huu si muda wa furaha ...Sasa wewe Abdul ufunge gori alafu Mohammed ashangilie ilo gori wakati ni mwezi mtukufu wa Ramadhani

wewe ndio mpumbavu kabisa nani alikuwambia mwezi huu sio wa furaha kwa waislamu hakuna mwezi wenye furaha kama huu matajiri wanatoa pesa kuwapa masikini na wasiojiweza pia watu wanagawa vyakula mafuta sukari mwezi huu watu wamepewa nafasi ya kuomba na kukubaliwa maombi yao mwezi huu watu wanakaribisha futari mwezi huu mwezi huu ndio wenye furaha na matumaini. ila kwa wale waliofungwa macho ya kutojua kama wewe ndio mnaona shida. laana tulahi kafir wewe
 
Kwani Wachezaji wenyewe wanasemaje
Kuna mahali nmesoma uzi flan umeuanzisha wewe, ulikuwa na hoja nzuri tu na nikadhan wewe ni mtu kweli.
Sasa ulichokoment hapa kinanipa wasiwasi tena kujiuliza kama nlikuwa sahihi kudhani vile.
 
Yeye kama amiri jeshi na kiongozi wa nchi awezi kukwepa lawama, hapo ndio lazima tumkumbuke hayati angeweka sawa viongozi wa timu zote halafu ange deal walioaribu wote kuanzia wizarani hadi TFF.

Tunachukulia poa kwasababu watanzania ni watu wenye busara ingekuwa nchi nyingine kiwanjani pale pangechimbika na uharibufu mkubwa na fujo zingetokea.

Unafikiri mama angewapigia viongozi wa timu zote kurudisha timu uwanjani wangegomea?
Bila kuunga mkono sifa kwa mtu yeyote uliyemtaja, niruhusu niandike yafuatayo:

Haitashangaza sana ukisikia kwamba hapo Pesa ndefu" imetumika ili mechi iahirishwe kwa manufaa ya wafadhiri.
Enzi za 'ujanjaujanja' zimerudi kwa nguvu, kwa hiyo hakuna linaloshindikana tena kama pesa ndefu ipo.
 
Ingevumilika kama wangeelezea angalau sababu. Hii ni dharau tupu ya watu 70,000+ 16,000,000 waliokuwa watege sikio na macho.
Yaelekea mheshimiwa mmoja aliyeko kwenye book launch hakutaka kukosa mechi akatoa 'instructions from above' a la banana republic!
Nahofia sana nchi yetu hii.

Tayari tulikuwa tunachungulia huko kwenye 'republic', lakini naona sasa kwa mwendo huu, dalili zinaonyesha tutatumbukia moja kwa moja na kuwa "full Banana Republic".

Dalili hizi za mwanzo siyo nzuri hata kidogo.

Kila unapotazama, hali siyo nzuri hata kidogo, mara TRA mifumo imekuwaje sijui...

Au haya yote ni dalili za mnyukano wa ndani kwa ndani kati ya "chawa" wa Mwendazake, na Genge la Msoga"?
 
Back
Top Bottom