Aliyezusha kuwa Samaki wa Ziwa Victoria wanahifadhiwa kwa maji ya Maiti akamatwe ashtakiwe, ni mchochezi

Aliyezusha kuwa Samaki wa Ziwa Victoria wanahifadhiwa kwa maji ya Maiti akamatwe ashtakiwe, ni mchochezi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hiyo taarifa nimeisikia sikia nikawaza nani amesema hayo maneno. Nikaacha kuagizia samaki ugali kwa mama nitilie.

Na kwa kweli nimetapika sana. Nlianza kuingiwa na hasira, chuki na dukuduku. Kiukweli nilichochewa sana. Nlichochewa kufanya jambo baya.

Leo nani kasema mambo shwari tu aliyetoa tamko alikurupuka. Sasa nashauri serikali isimwache aliyetoa tamko. Na kusababisha mimi mpaka leo niwatake hao samaki. Potelea pote na mpunga usiote.

Sheria ichukue mkondo wake kwa kweli.
Nawasilisha hoja.
 
Scientifically hakuna ushuhuda wowote ( evidence) kuwa maji ya kuoshea maiti au dawa za kuhifadhi maiti ( Fomaline-(Formaldehyde) ) kuwa zina significant R/ship with Cancer diseases... utafiti bado unatakiwa kufanyika "why kanda ya ziwa kuna wagonjwa wengi wa Saratani....
My hypothesis:
1.uvuvi haramu kwa kutumia sumu
2. Low basin ( mercury &;Cynide kutoka kwenye migodi kutiririka ktk ziwa victoria kutokana na mifumo taka mibovu ndani ya mogodi)
 
Mm nadhani maji ya kuoshea maiti ndiyo yanaleta afya kwa samaki
 
Tena akikamatwa afungiwe jiwe atupwe ziwani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Maji ya kuoshea maiti (by composition) yanatofauti gani na maji yanayotokea bafuni?. .......tatizo ni "maiti" si ndiyo?
Kitu ni hicho hicho ila maji ya kuoshea maiti ni mazuri hasa kwenye mazao mana yana rutuba asili.
 
Hiyo taarifa nimeisikia sikia nikawaza nani amesema hayo maneno. Nikaacha kuagizia samaki ugali kwa mama nitilie.

Na kwa kweli nimetapika sana. Nlianza kuingiwa na hasira, chuki na dukuduku. Kiukweli nilichochewa sana. Nlichochewa kufanya jambo baya.

Leo nani kasema mambo shwari tu aliyetoa tamko alikurupuka. Sasa nashauri serikali isimwache aliyetoa tamko. Na kusababisha mimi mpaka leo niwatake hao samaki. Potelea pote na mpunga usiote.

Sheria ichukue mkondo wake kwa kweli.
Nawasilisha hoja.
Kweli waTanzania Bado tumelala! Badala ya kuomba kupata uhakiki wa jambo Hilo au kufuatilia Kwa undani wanakohifadhia hao samaki! Mnamkamata na kuitwa mchochezi! Je wakija wakafa watu Nani alaumiwe??
 
Hiyo taarifa nimeisikia sikia nikawaza nani amesema hayo maneno. Nikaacha kuagizia samaki ugali kwa mama nitilie.

Na kwa kweli nimetapika sana. Nlianza kuingiwa na hasira, chuki na dukuduku. Kiukweli nilichochewa sana. Nlichochewa kufanya jambo baya.

Leo nani kasema mambo shwari tu aliyetoa tamko alikurupuka. Sasa nashauri serikali isimwache aliyetoa tamko. Na kusababisha mimi mpaka leo niwatake hao samaki. Potelea pote na mpunga usiote.

Sheria ichukue mkondo wake kwa kweli.
Nawasilisha hoja.

Watanzania tunadanganyika kirahisi sana, na Tutaisha, kwa hiyo unafikiri Makamu wa rais alikuwa ajielewi?

Kwa taarifa yako, Jana ndo tumedaganywa sasa, Mimi silali hao samaki tena, nitakuwa naenda mnadani ununio kila Jumamosi!
 
Kweli waTanzania Bado tumelala! Badala ya kuomba kupata uhakiki wa jambo Hilo au kufuatilia Kwa undani wanakohifadhia hao samaki! Mnamkamata na kuitwa mchochezi! Je wakija wakafa watu Nani alaumiwe??
Mtoa mada anafurahisha baraza tu, unaweza mkamata VP wewe?
 
Wavuvi wengi ni washirikina. Maji ya kuoshea maiti yanayumika hata kwenye madini. Wachimba madini huoga maji ya kuoshea maiti ili kupata madini mengi. Makamu wa raisi hakuropoka, kachupa kadogo ka maji ya kuoshea maiti kanauzwa mpaka shilingi laki NNE. Hao wengine wanaficha aibu tu.
 
Hiyo taarifa nimeisikia sikia nikawaza nani amesema hayo maneno. Nikaacha kuagizia samaki ugali kwa mama nitilie.

Na kwa kweli nimetapika sana. Nlianza kuingiwa na hasira, chuki na dukuduku. Kiukweli nilichochewa sana. Nlichochewa kufanya jambo baya.

Leo nani kasema mambo shwari tu aliyetoa tamko alikurupuka. Sasa nashauri serikali isimwache aliyetoa tamko. Na kusababisha mimi mpaka leo niwatake hao samaki. Potelea pote na mpunga usiote.

Sheria ichukue mkondo wake kwa kweli.
Nawasilisha hoja.
Kwa hiyo SERIKALI imshughulikie Makamu wa Raisi SI ndie alisema akiwa mwanza!!??
 
Back
Top Bottom