Aliyoandika Niki wa pili

Tatizo wanasiasa wengi walikua maskini kama flani kabla ya kuingia kwenye siasa.

Wanaingia kwa kujifanya wanatetea wanyonge ila wengi wanaenda nufaisha matumbo yao.

Huko bungeni kama kuna mwenye uchungu na wananchi wake basi labda 10 ila wengi wao ni kujinufaisha wao na familia zao.

Vitu vyetu Vingi sana vinapotea kwa ajili ya manufaa yao bnafsi,,wajue tu Uongozi ni dhamana..
 
nimeipenda mistari miwili ya mwisho
MWANAUME MASHINE
 
Huyu msanii huwa anakosea sana kuandika maneno ya kiswahili. Ukiangalia alichokiandika hapo kuna makosa ambayo hata mwanangu wa miezi 11 hawezi kuandika.

Fuatilia maandishi yake yote mtaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…