Aliyofanikisha Rais Samia ndani ya mwaka mmoja kwa Walimu

Aliyofanikisha Rais Samia ndani ya mwaka mmoja kwa Walimu

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Mafanikio haya kwa Walimu ni ndani ya Mwaka Mmoja tu wa Rais Samia na Kazi Inaendelea

maelezonews~p~Cb5ep4qqyEZ~1.jpg
 
Mafanikio haya kwa Walimu ni ndani ya Mwaka Mmoja tu wa Rais Samia na Kazi Inaendelea

View attachment 2174779
Kabla ht sijaumiza kichwa naomba kuuliza ktk inchi yenye wilaya 169, sisi ni wa kupiga pambio kwa pikipiki 74....yani wastani wa pikipiki 1 kwa wilaya 2...

Kile kitu Mzungu alikifanyia kichwa ya mtu mweusi during the slave trade and the aftermath ni Mungu tu ndo anajua...Completely pathetic
 
Kabla ht sijaumiza kichwa naomba kuuliza ktk inchi yenye wilaya 169, sisi ni wa kupiga pambio kwa pikipiki 74....yani wastani wa pikipiki 2 kwa kila wilaya...

Kile kitu Mzungu alikifanyia kichwa ya mtu mweusi during slave trade and the aftermath ni Mungu tu ndo anajua...Completely pathetic
Noma sana!
 
Ukweli hajapandisha vyeo walimu 126000 ni walimu 40000 tu ndo alipandisha mwaka jana. Muache uongo.

Mnamdanganya mama mmweka labda watumishi hewa mnabeba hela.

Mama shtuka
 
Mafanikio haya kwa Walimu ni ndani ya Mwaka Mmoja tu wa Rais Samia na Kazi Inaendelea

View attachment 2174779
Ukisikia ''SUBJECTIVE PROBABILITY" ndio hii

Mmeanza tena yaleyale mambo yenu ya UONGO UONGO kupika takwimu from no where kama marehemu MALAIKA JIWE

Mnadanganya watu halafu baadae muda unawaumbua then mnageukana

CCM bana [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ukweli hajapandisha vyeo walimu 126000 ni walimu 40000 tu ndo alipandisha mwaka jana. Muache uongo...
Mkuu unapata faida gani kupotosha!!? Kumbuka mfano mzuri ni huu ambao Mimi Niko kwenye kada hiyo,walimu walioajiriwa mwaka 2014 walikuwa 35,000 na walioajiriwa mwaka 2015 walikuwa 32,000 Hawa wote walikuwa hawajapanda madaraja Hadi kufikia mwaka 2021 ,Hali hii Ni kinyume na taratibu na sheria za utumishi wa umma ambapi inatakiwa mtumishi kupanda daraja kila baada ya miaka 3.

Alipoingia mama Samia ndani ya miezi mitatu tu aliwapandisha madaraja walimu wote Hawa,Samia ,Samia ,Samia !!![emoji120]

Hapo nimekutajia walimu tu,bado kada zingine ambapo ukijumlisha unapata jumla ya watumishi 126,000.

Binafsi namkubali Sana mama Samia [emoji120][emoji120]
 
Kwani Tanzania yoote wanaishi walimu tu?
Mkuu walimu wapo kila kijiji usichokijua wewe

Ukiongelea mwalimu umemuongea mfanyakazi wa mwanzo na wa mwisho kwenye kila kijiji siajabu hata mwanachama wa ccm akawa hayupo hilo eneo ila mwalimu yupo na Ofisi yake ambayo ni shule

Ukiongelea mwalimu ni kuuongea Utumishi wa umma wote nchi nzima

Ndio maana wanatakiwa kupandishia mshahara wake kwanza na kwa haraka May Mosi hiii
 
Back
Top Bottom