maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 935
- 2,096
Hukukiona hicho choo kama kimehudumia watu wengi mkuu Ama una miaka 10 experience huna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤸🤸🤸 ....nitakuunganisha na katoto la 2000....mi majukumu yameniandama...mwendo wa kuserebuka tu, maisha yenyewe ndio haya haya 😀
Sasa mimi nataka mzee mwenzangu niserebuke kizee, hivyo vitoto vya 2000 vitataka amapiano, ndio mwanzo wa kuzimia.🤸🤸🤸 ....nitakuunganisha na katoto la 2000....mi majukumu yameniandama...
Muda wa kuserebuka Sina 😔
Sawa utanishtua...ngoja niitenge siku mapemaSasa mimi nataka mzee mwenzangu niserebuke kizee, hivyo vitoto vya 2000 vitataka amapiano, ndio mwanzo wa kuzimia.
hayo ndio maneno sasa.Sawa utanishtua...ngoja niitenge siku mapema
Umefuga malaya for 2 years!! Pole mkuu 🤣Wakuu,
Mwaka 2022, alitokea binti mrembo machoni pangu, mrefu, black beauty, mnene kiasi mpole, mstaarabu na mwenye adabu sana
Basi bwana kikaingiza mikorogo na gia zangu ili badae awe wife material badae manake niliona upole, ustaarabu na utulivu wake ndio ulinivutia kuwa huenda akawa wife material wa maisha
Binti mwanzo alizingua kidogo badae akakubali, basi mapenzi yameendelea na ahadi kedekede, mala ooh! Mume wangu, wewe ni wamaisha yangu, stakusaliti, mara siku ukiniacha nitajinyonga walah na mambo kadha wa kadhaa
.
Tuendelee.
Basi bhana,tumeendelea ktk penzi zito na huyo binti takribani 2yrs, ilifikia hatua nikamtambulisha kwa wazazi wangu,nae nikanitambulisha kwa wazazi wake,
Taratibu za ndoa zikapangwa,na ilikuwa imebaki miezi michache tufunge ndoa.
Usilolijua ni kama usiku wa giza,binti kumbe ni mcharuko na malaya hatari,nimekuja kugundua hilo baada ya kukaa na simu yake kwa 3days,yaani si rafki yangu,wala shemej zake wote anatembea nao wote. Suala la kuoa nimestop na stapenda tena.
IdiotWakuu,mapenzi yanauma kuliko kuuma kwenyewe
Amesema eti hata hamu ya kula kaondoka nayo ex 😂Umekunywa chai lakini kiongozi?!
eleza vuzuri, ulikuta nini? yaani unamaanisha rafiki zako na wadogo zako wamepiga?Wakuu,
Mwaka 2022, alitokea binti mrembo machoni pangu, mrefu, black beauty, mnene kiasi mpole, mstaarabu na mwenye adabu sana
Basi bwana kikaingiza mikorogo na gia zangu ili badae awe wife material badae manake niliona upole, ustaarabu na utulivu wake ndio ulinivutia kuwa huenda akawa wife material wa maisha
Binti mwanzo alizingua kidogo badae akakubali, basi mapenzi yameendelea na ahadi kedekede, mala ooh! Mume wangu, wewe ni wamaisha yangu, stakusaliti, mara siku ukiniacha nitajinyonga walah na mambo kadha wa kadhaa
.
Tuendelee.
Basi bhana,tumeendelea ktk penzi zito na huyo binti takribani 2yrs, ilifikia hatua nikamtambulisha kwa wazazi wangu,nae nikanitambulisha kwa wazazi wake,
Taratibu za ndoa zikapangwa,na ilikuwa imebaki miezi michache tufunge ndoa.
Usilolijua ni kama usiku wa giza,binti kumbe ni mcharuko na malaya hatari,nimekuja kugundua hilo baada ya kukaa na simu yake kwa 3days,yaani si rafki yangu,wala shemej zake wote anatembea nao wote. Suala la kuoa nimestop na stapenda tena.
Haeleweki huyuuu jamaaaeleza vuzuri, ulikuta nini? yaani unamaanisha rafiki zako na wadogo zako wamepiga?
akikaa na wewe atatulia tu 😛Wakuu,
Mwaka 2022, alitokea binti mrembo machoni pangu, mrefu, black beauty, mnene kiasi mpole, mstaarabu na mwenye adabu sana
Basi bwana kikaingiza mikorogo na gia zangu ili badae awe wife material badae manake niliona upole, ustaarabu na utulivu wake ndio ulinivutia kuwa huenda akawa wife material wa maisha
Binti mwanzo alizingua kidogo badae akakubali, basi mapenzi yameendelea na ahadi kedekede, mala ooh! Mume wangu, wewe ni wamaisha yangu, stakusaliti, mara siku ukiniacha nitajinyonga walah na mambo kadha wa kadhaa
.
Tuendelee.
Basi bhana,tumeendelea ktk penzi zito na huyo binti takribani 2yrs, ilifikia hatua nikamtambulisha kwa wazazi wangu,nae nikanitambulisha kwa wazazi wake,
Taratibu za ndoa zikapangwa,na ilikuwa imebaki miezi michache tufunge ndoa.
Usilolijua ni kama usiku wa giza,binti kumbe ni mcharuko na malaya hatari,nimekuja kugundua hilo baada ya kukaa na simu yake kwa 3days,yaani si rafki yangu,wala shemej zake wote anatembea nao wote. Suala la kuoa nimestop na stapenda tena.
Sasa ulitaka ule mwenyewe.nitajinyonga
ChaiWakuu,
Mwaka 2022, alitokea binti mrembo machoni pangu, mrefu, black beauty, mnene kiasi mpole, mstaarabu na mwenye adabu sana
Basi bwana kikaingiza mikorogo na gia zangu ili badae awe wife material badae manake niliona upole, ustaarabu na utulivu wake ndio ulinivutia kuwa huenda akawa wife material wa maisha
Binti mwanzo alizingua kidogo badae akakubali, basi mapenzi yameendelea na ahadi kedekede, mala ooh! Mume wangu, wewe ni wamaisha yangu, stakusaliti, mara siku ukiniacha nitajinyonga walah na mambo kadha wa kadhaa
.
Tuendelee.
Basi bhana,tumeendelea ktk penzi zito na huyo binti takribani 2yrs, ilifikia hatua nikamtambulisha kwa wazazi wangu,nae nikanitambulisha kwa wazazi wake,
Taratibu za ndoa zikapangwa,na ilikuwa imebaki miezi michache tufunge ndoa.
Usilolijua ni kama usiku wa giza,binti kumbe ni mcharuko na malaya hatari,nimekuja kugundua hilo baada ya kukaa na simu yake kwa 3days,yaani si rafki yangu,wala shemej zake wote anatembea nao wote. Suala la kuoa nimestop na stapenda tena.
Hivi tunapowaambia kataa ndo huwa hamsikii?Wakuu,
Mwaka 2022, alitokea binti mrembo machoni pangu, mrefu, black beauty, mnene kiasi mpole, mstaarabu na mwenye adabu sana
Basi bwana kikaingiza mikorogo na gia zangu ili badae awe wife material badae manake niliona upole, ustaarabu na utulivu wake ndio ulinivutia kuwa huenda akawa wife material wa maisha
Binti mwanzo alizingua kidogo badae akakubali, basi mapenzi yameendelea na ahadi kedekede, mala ooh! Mume wangu, wewe ni wamaisha yangu, stakusaliti, mara siku ukiniacha nitajinyonga walah na mambo kadha wa kadhaa
.
Tuendelee.
Basi bhana,tumeendelea ktk penzi zito na huyo binti takribani 2yrs, ilifikia hatua nikamtambulisha kwa wazazi wangu,nae nikanitambulisha kwa wazazi wake,
Taratibu za ndoa zikapangwa,na ilikuwa imebaki miezi michache tufunge ndoa.
Usilolijua ni kama usiku wa giza,binti kumbe ni mcharuko na malaya hatari,nimekuja kugundua hilo baada ya kukaa na simu yake kwa 3days,yaani si rafki yangu,wala shemej zake wote anatembea nao wote. Suala la kuoa nimestop na stapenda tena.