Aliyonifanyia huyu dada, naapa sitapenda tena zaidi ya kutamani na kuzagamua

Hukukiona hicho choo kama kimehudumia watu wengi mkuu Ama una miaka 10 experience huna
 
mwendo wa kuserebuka tu, maisha yenyewe ndio haya haya 😀
🤸🤸🤸 ....nitakuunganisha na katoto la 2000....mi majukumu yameniandama...
Muda wa kuserebuka Sina 😔
 
🤸🤸🤸 ....nitakuunganisha na katoto la 2000....mi majukumu yameniandama...
Muda wa kuserebuka Sina 😔
Sasa mimi nataka mzee mwenzangu niserebuke kizee, hivyo vitoto vya 2000 vitataka amapiano, ndio mwanzo wa kuzimia.
 
Umefuga malaya for 2 years!! Pole mkuu 🤣
 
eleza vuzuri, ulikuta nini? yaani unamaanisha rafiki zako na wadogo zako wamepiga?
 
akikaa na wewe atatulia tu 😛
 
Chai
 
Hivi tunapowaambia kataa ndo huwa hamsikii?
 
Ndio ukome, hadi mmekaa 2 yrs kumbe hukujua tabia yake, it seems hujui kuchunguza vema mtu unayetaka kuishi nae, safii ndio utajifunza sasa kuwa makini zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…