Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Wakati wa kampeni Magufuli alisikika akisema, nileteeni diwani na mbunge wa CCM, alikua na uhakika wa ushindi wake. Yale aliyosema yote yametimia. Majimbo karibu yote ya Tanzania yame pata diwani, mbunge na Magufuli wa CCM.
Ni kwanini tupate tabu tena kuhangaika na uchaguzi 2025. Hizi pesa tunazopoteza kwenye uchaguzi ilhali Magufuli anachosema kinakua si kheri zisaidie ujenzi wa barabara za lami vijijini na maji salama ya kunywa.
Pangeni sherehe ya kumuapisha Magufuli awe Mfalme wetu. Tutekeleze kauli zake kwani tume fanya hivyo kwa miaka mitano. Ata pata nafasi ya kuteua anaowapenda wamsaidie kuuongoza ufalme wake.
Kipigo walichopata raia wasio na silaha waliojaribu tu kuandamana ili kupaza sauti ya uchaguzi usio na haki, kinatosha kutufahamisha kuwa tunatakiwa kuiabudu CCM. Ukihoji maagizo kutoka juu imekula kwako.
Ni kwanini tupate tabu tena kuhangaika na uchaguzi 2025. Hizi pesa tunazopoteza kwenye uchaguzi ilhali Magufuli anachosema kinakua si kheri zisaidie ujenzi wa barabara za lami vijijini na maji salama ya kunywa.
Pangeni sherehe ya kumuapisha Magufuli awe Mfalme wetu. Tutekeleze kauli zake kwani tume fanya hivyo kwa miaka mitano. Ata pata nafasi ya kuteua anaowapenda wamsaidie kuuongoza ufalme wake.
Kipigo walichopata raia wasio na silaha waliojaribu tu kuandamana ili kupaza sauti ya uchaguzi usio na haki, kinatosha kutufahamisha kuwa tunatakiwa kuiabudu CCM. Ukihoji maagizo kutoka juu imekula kwako.