All about Teleportation

All about Teleportation

Am curious kujua kwa nini umefikiria hivyo?
samahani wadau, naingilia katikati ya maada kuongea kitu kilicho nje ya maada


kuna huyu jamaa anaitwa Dreson4, ni mmoja kati ya wadau ambao michango yao hapa jukwaani huwa inanikuna kisogo balaa
huwa namfatilia kimya-kimya sana

kwa muda mrefu sijatembelea hapa jukwaani
siku nilipotembelea uzi mmoja hivi ambao nilishawahi kuutembelea kabla, uliokuwa unasema ""KINADHARIA INAWEZEKANA WATU WOTE KUWA MATAJIRI ??""((if i'm not mistaken))
jamaa nilim-TAG ((nilitumia ID yangu ya ETCETERA)), na ninahisi jamaa alitoa mchango wake kwa huo uzi
aliongelea kuhusu Research iliyofanywa na WORLD BANK kuwa 95% ya watu wote duniani, tunaishi ndani ya 10% ya ardhi yote iliyopo.

pia alisema kuwa tunaweza kumwaga SOLAR PANELS jangwa la Sahara ambazo zinaweza kutupatia umeme Africa nzima kwa muda wa 20years mpaka kubadilisha PANELS
aliongea mengi tu na mengine kadharika
mara ya kwanza kuucheki huo uzi, nahisi huyo dreson4 ndiye aliye-post hiyo kitu, lakini mara ya pili huyu mtu anaitwa NullPointer nikaona kama ndiyo muhusika vile
nika-search-search na post kazaa za nyuma za Dreson4 kwenye nyuzi mbalimbali sikuziona, basi nikahisi huyu NullPointer ndiyo dreson4
ndiyo maana nimeuliza

. made mby city.
 
Last edited by a moderator:
NICOLAX Basi mkuu uko sahihi, nilidhani umenisoma navoandika ukashtuka, kidogo nibadilishe style yangu ya kuandika kabisa.
Nilibadilisha ID baada ya kua na specie mwingine tunayefanana naye ID..
 
Last edited by a moderator:
NICOLAX Basi mkuu uko sahihi, nilidhani umenisoma navoandika ukashtuka, kidogo nibadilishe style yangu ya kuandika kabisa.
Nilibadilisha ID baada ya kua na specie mwingine tunayefanana naye ID..
nakubali sana nondo zako mkuu NullPointer
keep acknowledging us

.made in mby city.
 
Last edited by a moderator:
Hebu kwanza ni kwa sababu sijaelewa au si mjuzi wa haya mateleportation? mbona kama ni issue impossible practically?hivi hii na mtu mmoja kuwa sehemu mbili tofauti zina mahusiano?
 
Hebu kwanza ni kwa sababu sijaelewa au si mjuzi wa haya mateleportation? mbona kama ni issue impossible practically?hivi hii na mtu mmoja kuwa sehemu mbili tofauti zina mahusiano?

ok hapana mkuu.. naona hiyo unayosema ni time traveling.. mtu unakuwa marambili au zaidi according to time..
 
ndugu wanasayansi wetu kimsingi mimi sio mwanasayansi kama nyie ila kupitia hoja hizi nimejifunga mengi niyoyajua.

on my point
ikiwa mtu halisi atatolewa DNA na RNA zake na kutengenezwa mtu wa mfamo wake kwa njia ya mahabara, nifikirivyo mimi mtu halisi ataishi na mtu nakala ataishi wa nguvu ya mtambo na sio kwa damu, nyama na moyo. maisha ya mtu huo yatakuwa nategemea kuendeshwa na kuongozwa .
 
ndugu wanasayansi wetu kimsingi mimi sio mwanasayansi kama nyie ila kupitia hoja hizi nimejifunga mengi niyoyajua.

on my point
ikiwa mtu halisi atatolewa DNA na RNA zake na kutengenezwa mtu wa mfamo wake kwa njia ya mahabara, nifikirivyo mimi mtu halisi ataishi na mtu nakala ataishi wa nguvu ya mtambo na sio kwa damu, nyama na moyo. maisha ya mtu huo yatakuwa nategemea kuendeshwa na kuongozwa .
Samahani sana sir.. Swali nimeshindwakulielewa kidogo naomba liwekea fresh..huwenda ukapata answer
 
ok hapana mkuu.. naona hiyo unayosema ni time traveling.. mtu unakuwa marambili au zaidi according to time..

Speaking of Time Travelling, if one travels to the future and come back to present, can he use the experience to save the future? Kama vile changing fates na kadhalika?
 
This thing called teleportation is what known as pseudoscience. I watched a movie a year ago called "fringe" if you interested to learn more about "fringe science" you find a movie and watch.
 
Habari zenu wadau wote wa jukwaa hili la Jamii Intelligence, leo nimeleta mezani mada kuhusu TELEPORTATION. Naomba nitumie kingereza ili niweze kueleweka vizuri. TELEPORTATION is simply TELECOMMUNICATION, TRANSPORTATIONand QUANTUM PHYSICS at the same point. Teleportation means is the transportation of a body from point A to point B in just milliseconds....it is like transporting a person from ARUSHA to MWANZA in seconds. You may ask yourself how can this even be possible. If you are a fan of science fiction movies you may notice that this term TELEPORTATION is familiar to you. In Physicist Charles
Bennett and a team of IBM researchers confirmed
that quantum teleportation was possible, but only
if the original object being teleported was
destroyed. Why? The act of scanning disrupts the
original such that the copy becomes the only
surviving original. In reality scientists are working day and night to make this thing become possible, as it will help people to even transport very fast. In order to teleport a person, what you need is to scan the body into subatomic level(DEMATERIALIZATION)at point A and send the information to point B for transformation of the same body which was dematerialised at point A. The biggest problem facing scientists is that what will be transformed at point B is merely a COPY of what was destroyed at point A, thus will this COPY have the same memories, behaviour, brain activities as the original person which was destroyed at point A...this remains a nightmare for the scientists working on this till today. But if TELEPORTATION will work out right, we will all forget about PASSPORTS, VEHICLES, PLANES and we can all
reach our destinations in just a fraction of a second. Next time i will come up with the topic of TELEPATHY, be free to comment.

ENJOY SCIENCE AND LETS BUILD THE WORLD WE DESIRE TO BE IN.

Karibu hapa
[h=3]Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo
[/h]Ukifika scrol down mpaka hapa Apportation - Materialization, disappearance, or teleportation of an object,
Then hapa. Bilocation or multilocation - Being in multiple places at the same time.
na ngfuvu zinazotumika ni hizi Psychokinesis or telekinesis - The ability to manipulate matter by the power of thought.
Karibu.

Pasco
 
Back
Top Bottom