All bank accounts with no monthly charges in Tanzania (Akaunti zote zisizo na makato ya mwezi Tanzania)

All bank accounts with no monthly charges in Tanzania (Akaunti zote zisizo na makato ya mwezi Tanzania)

Crdb wananikata makato kila mwezi. Daah.
Unamiliki akaunti ya aina gani CRDB mpaka wanakukata?
Inatakiwa uwe makini kuchagua bank account, kuna makato mawili ambayo unatakiwa uyajue, monthly charges na minimum balance for maintaining account, kwenye hayo makato, akaunti inakuwa bure 100% kama yote ni free, lakini kama mojawapo siyo free, basi akaunti utakayo miliki lazima itakuwa na makato kwa mwezi.
Makato mengine siyo ya lazima lakini ni ya hiyari, makato ambayo siyo ya lazima ni ATM drawing fee, cheque fee, statement fee n.k.
Kwahiyo unapotaka kumiliki akaunti, angalia specifications za hiyo account, iwe na free monthly charges na iwe na no minimum balance for maintaining account.
 
Unamiliki akaunti ya aina gani CRDB mpaka wanakukata?
Inatakiwa uwe makini kuchagua bank account, kuna makato mawili ambayo unatakiwa uyajue, monthly charges na minimum balance for maintaining account, kwenye hayo makato, akaunti inakuwa bure 100% kama yote ni free, lakini kama mojawapo siyo free, basi akaunti utakayo miliki lazima itakuwa na makato kwa mwezi.
Makato mengine siyo ya lazima lakini ni ya hiyari, makato ambayo siyo ya lazima ni ATM drawing fee, cheque fee, statement fee n.k.
Kwahiyo unapotaka kumiliki akaunti, angalia specifications za hiyo account, iwe na free monthly charges na iwe na no minimum balance for maintaining account.
Asante bro.
Ngoja nifuatilie
 
Hii wisdom (retired) account nilikuwa kwa kweli siijui nataka niwe naweka hella hata kama ni bukubuku hakuna kutoa mpaka nitakapojistaafisha
 
-Chipukizi account ipo, angalia vizuri.
-Mtoto account ni sawasawa na Chipukizi account, sifa zake zote ni sawa na za Chipukizi account.
-Pamoja account ni sawasawa na Niamoja account, haipo kwenye tovuti rasmi ya NMB.
-Business saving account haipo kwenye vyanzo rasmi vya NMB.
-Bonus account ipo, nitaiweka.
Yeah mtoto account na chipukizi account zinafanana... Ila tofauti yake chipukizi account inafunguliwa kwa mtoto kuanzia miaka 13 hadi miaka 17... Na inafunguliwa kwa Tsh. 2,000 na mtoto anapata ATM CARD ambayo inamwezesha kutoa mpaka Tsh. 50,000 kwa siku kwenye ATM
 
Ndugu Mteja - Kuanzia tarehe 1 Julai 2018 tutaanza kutoza gharama kwa baadhi ya miamala ya AccessMobile. Kwa maelezo zaidi 0659074000 au fika katika tawi letu.
Access Bank wamenitumia hio SMS jana
 
Ndugu Mteja - Kuanzia tarehe 1 Julai 2018 tutaanza kutoza gharama kwa baadhi ya miamala ya AccessMobile. Kwa maelezo zaidi 0659074000 au fika katika tawi letu.
Access Bank wamenitumia hio SMS jana
Kila mwaka, mwezi julai tarehe 1, ni mwaka mpya wa mabadiliko ya kiserikali. Kampuni binafsi na za serikali zinaboresha shughuli mbalimbali za uchumi. Ndiyo maana ukatumiwa hiyo meseji na AccessBank inayohusu kuanza kutozwa gharama kwenye AccessMobile.
Ni afadhali mabenki yawachaji wateja sehemu zote, ila wasiwachaji wateja sehemu mbili, monthly charges na minimum balance for maintaining account, wakichaji sehemu mojawapo kati ya hizo mbili, akaunti husika inakuwa siyo free tena.
 
Wisdom account inafunguliwa kwa mstaafu.... Maana moja ya mahitaji yake ni kitambulisho cha mstaafu au barua ya kustaafu
Mkuu, hayo maelezo sahihi umeyatoa kwenye official web ya NMB, kwa sababu unaweza kuangalia maelezo kwenye official sites mbalimbali, tusaidie kupata maelezo ya akaunti za mabenki yaliyobaki hapo juu kwa faida ya wote.
 
hivi kati ya Equity na DTB nani amesambaa zaidi nchini?
na akaunti zote za Equity unapewa Mastercard ama?
 
Chanzo cha data hizi ni kwenye official website ya benki husika, benki nyingine hazijawekwa sababu hazijaweka taarifa za akaunti kwenye website zao.
Kama unataka kufungua akaunti mpya kwa kutumia reference ya huu uzi, ukishaipoint akaunti ya benki unayoitaka, nenda kwenye webiste ya benki husika, halafu jiridhishe kwa kuangalia maelezo zaidi ya hiyo akaunti.

Zifuatazo ni benki ambazo hawajaweka taarifa za akaunti kwenye website zao:

Kenya Commercial Bank (KCB), Bank Of Africa (BOA), United Bank Of Africa (UBA), Commercial Bank Of Africa (CBA), First National Bank (FNB), Akiba Commercial Bank (ACB), Ecobank, Citibank, Mkombozi Commercial Bank (MKCB), Exim, Stanbic, FBME (No longer available in TZ), Guaranty Trust Bank (GTBank), Habib African Bank, I&M Bank, International Commercial Bank (ICB), National Industrial and Commercial Bank (NIC), People's Bank of Zanzibar (PBZ)
, United Bank Limited (UBL), TIB Development Bank, First Housing Finance, Letshego, Amana, Azania, Bank M, Bank of Baroda, Bank Of India.

Zifuatazo ni akaunti ambazo hazina makato kwa mwezi:

CRDB
-Junior Jumbo (Children)
-Dhahabu (Current/Fixed/Saving) (No ATM card)
-Niamoja (Groups)

NMB
-Wisdom (Retired)
-Chipukizi (Children)
-Chap Chap (Current/Fixed/Saving)

NBC
-Kikundi (Group)
-Malengo Savings (Current/Fixed/Saving)
-Pure Save (Current/Fixed/Saving)
-Chanua Savings (Children)

DTB
-Value (Current/Fixed/Saving) (No cheque)
-Super Salary (Group)
-Super Value (Current/Fixed/Saving)
-Premium Savings (Current/Fixed/Saving)
-Kisomi (Students) -Amani (Women)
-Faraja (Elders)

Barclays
-Student (Students)
-Bonus Savings (Current/Fixed/Saving)
-Junior Eagle (Children)

BancABC
-Mwangaza Junior (Children)
-Jiongeze Current (Current/Fixed/Saving)
-Fahari Savings (Family)

Equity
-Current (Current/Fixed/Saving)
-Equity Pensioner's (Elders)
-Jijenge (Current/Fixed/Saving)

Standard Chartered
-Hifadhi (Current/Fixed/Saving)
-Tajirika Savings (Current/Fixed/Saving) (No ATM card)
-Tajirika Junior Savings (Children) (No ATM card)

AccessBank
-Elimu (Students)
-Mikakati (Current/Fixed/Saving)

Dar Es Salaam Commercial Bank (DCB)
-Student Saving (Students)
-Young Saver (Children)

Mwalimu Commercial Bank (MCB)
-Mtoto (Children)

Tanzania Postal Bank (TPB)
-Minor (Children)

FINCA Microfinance Bank
-Hakika (Current/Fixed/Saving)
-Mipango (Current/Fixed/Saving)
🙂
 
Back
Top Bottom