All good men are married, so sad

Tumaini la kwanza ni kwa Mungu ambaye ndiye aliyeweka agano takatifu la ndoa. Kutamani ndoa ni Kutamani jambo takatifu sana.. Na umwambie Mungu hivyo kuwa natamani na nahitaji kutimiza agano lako.
Yeye anaijua nafsi yako kama kweli unatamani kwa Nia takatifu au malimwengu tuu.
Kama na kwa kutimiza kusudi lake mwenyewe atakupa hata leo.
Ila hutaweza kumgundua kuwa ndie mume wako. Maana mume Mwema huwa hatambuliki kirahisi unaweza akawa ni yule unayemdharau zaidi.

Kupenda ni kujifunza.. Upendo wa mapenzi ni artificial sio natural.. So you can learn to love. Upendo wako na mama mzazi ni natural hata mgombane vipi bado bond yenu haitenganishiki.
Ila upendo wa mwenzi ni artificial lazima ulindwe kwelikweli. Maana ni created so must be maintained vinginevyo ndio ndoa zinazovunjika au ndoa zilizojaa Mateso na uharamia.
Je unataka mume kweli??? Una uhakika? Ondoa vigezo vyote ila tuu mwambie Mungu nipe mume wa kunifaa(full stop).

Mungu anamjua wa kukufaa.
 
Una akili ndogo sana.

Kuwa na wake 30 hakukuzuii kuwa na michepuko kama ana tamaa.

Selemani alikuwa na wanawake 700 lakini hakuridhika, bado akawa na michepuko 300.

Kuoa wake wengi haijawahi kuwa tiba ya michepuko.
Basi Subiri Mumeo umzae mwenye akili nyingi kama zako...la sivyo utajdinywa sana huku ukisaka mume huku mitandaoni na usimpate kamwe....
 
Mungu akujaalie
 
Nyie wanawake wenye 35+ munakuwaga na mawivu sana hamchelewi kumchomea mtu ndani nyie.

Na kumpata jamaa wa umri huo 37 mwenye sifa zako wengi washaoa. Labda umpate single Father.
Kila LA kheri
 
Seriously need your number otherwise Good Morning
 
Sio kiasi hicho
Smtimes maisha ni kuangalia options zilizopo

who said ukiwa mke wa pili hutaishi vizuri?.

labda kama hujampenda huyo mtu
no simaanishi sitoishi vizuri, kwa nini nisiishi vizuri wakati ana maisha safi? naogopa kelele za familiya yake, na kutokua nae free. thats all.
 
no simaanishi sitoishi vizuri, kwa nini nisiishi vizuri wakati ana maisha safi? naogopa kelele za familiya yake, na kutokua nae free. thats all.
kelele kutoka wapi na ameridhia mwenyewe?kutokua nae free kivipi na kila mke ana mji wake?

we sema tu huyo bwana hujampenda...
 
kelele kutoka wapi na ameridhia mwenyewe?kutokua nae free kivipi na kila mke ana mji wake?

we sema tu huyo bwana hujampenda...
hakuna mwanamke mwenye ubavu wa kumkataa hyu mwanaume. wanawake tuna tamaa za vitu vizuri na kila kitu kizuri anacho. yeye mwenye yuko fit appearance.
kelele ninazo maanisha ni mke wake. wewe huwezi elewa.ila wanaume walofanikiwa wake zao sio kwa wivu huo, na nimefatilia hawana mgogoro wowote. inshort naogopa kurogwa wacha niwe wazi. ila asipopatikana hapa sitokuwa na chaguo. ntakubali nisimangwe nimefata mali. ahaaa
kuna siku moja alimtuma dereva anipeleke nyumbani. nikakataa nikapanda zangu daladala.( namkwepa) join akanitumia sms.hivi
'unanikataa kisa nina mke? hakikisha ukipata mtu wa kukuoa akupende na akupe furaha kama ambayo ningekupa. ukijichanganya ukaenda kuteswa huko hii nafasi hutoipata tena ' duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…