All good men are married, so sad

tafuta wako mtengeneze usisubiri wawatengeneze ndo uwabebe unaowaona wametengenezwa na wanawake wenzio, usisubiri wewe uhudumiwe gharimia mama.
 
Madam, tafuta wako acha kutamani waume za watu.
Endelea kutamani waume za watu, utatumika kama kondom ukija shtuka wale wanaume wa saizi yako wote wameoa ndo hapo unaishia kuwa na stress.
 
Umri wangu hauruhusu ...ila mpaka umefka umri huo hujaolewa?..kuna tatzo mahali..jichunguze...wew unataka hvyo vigezo...je wew vigezo vyetu unavyo?

Sio kadude kafupi keusi kanene tumashavu kama kote halaf unataka mtu mwenye vigezo hvyoo...sis wenye vigezo hvyo ulivyotaka kutukuta single ni ishu sanaaaa

Sasa jitafakari
 
Katika kitu nimekataa kudate na mme wa mtu na kama ilitokea ni bahati mbaya
Mim nna wivu sana
 
Sis wenye vigezo hvyo kutukuta single ni kama kusubir train airport....mim nna vigezo vyote hvyo kasoro umr umenipita

Pia nishachukuliwa...labda uje uwe mchepuko nikuonje nikiona uko vzur ndio tuongee...hahhaa
 
Sis wenye vigezo hvyo kutukuta single ni kama kusubir train airport....mim nna vigezo vyote hvyo kasoro umr umenipita

Pia nishachukuliwa...labda uje uwe mchepuko nikuonje nikiona uko vzur ndio tuongee...hahhaa
sihitaji mchepuko maana kama mchepuko huyo niliemsema yupo.
 
punguza ukali wa maneo.akikosa alie single nitamkubali huyu anaenihitaji kumbuka ana maisha safi. na amenipa muda wa kufanya maamuzi.
 
tafuta wako mtengeneze usisubiri wawatengeneze ndo uwabebe unaowaona wametengenezwa na wanawake wenzio, usisubiri wewe uhudumiwe gharimia mama.
hujui mahusiano wewe. hivi kwa umri huu nadhani sijawahi kumtengenez mtu nikamsubiri miaka mingi lakini shetani akaingia kati? hata hivyo silazimishi, nimekuja hapa kujaribu najua mungu hawezi kunipa kila kitu. akikosa ntakomaa mtamkubalia huyu. so long as yupo tiyari.
 
Nyie ndio wale mnatuita wenyewe, mwisho wa siku mnakuja na post za kulalamika kuwa tumezidi kuwafata! Ifike mahali hizi post ni afadhali zisiwepo.
 
Na nikipe siri ya sisi wanaume, wanaume walio ktk ndoa wanapenda michepuko ya wanawake singo...
 
Naona unachezea shillingi ya dhahabu chooni besty
Na jua linaenda zama
Kama unampenda kubali

uzuri character yako hujaweka pesa mbele

ishi kwako
Visa vya Mke mkubwa piga kimya
Usimchokoze wala usimjibu
tena kaa mbali lea familia yako.,

uchawi unarogwaje.?husali?sali
Kama Mungu kakupangia hayatashika
 
Ujana wako ulikula na nani, uzee uje kumaliza na sisi?
 
time will tell embu kwanza nisikilizie wenda ndo fungu langu.
 
Hapa inaonesha una vitendo vya kimalaya kutamani mabwana za watu alfu unakuja huku kukialia aise utalogwa juz Kati jamaa aliniadidhia kisa Cha Kaka ake kuwa na mke wa pili ili Hali mke mkubwaa ajui uwez Amin mwanamke alikutwa kafaa kitandani kaganda hapo maeneo ya kawe badaa ya mazishi kufanyika jamaa akachukuwa watoto wale kawapeleka nyumbni kwa mke mkubwaa Amin jamaa alinimbia kuwa muhusika wa tukio lile huwenda Ni mke mkubwa ..hvyo nakushauri tu kaah pembeni utakuja kufaah na kupeleka aibu kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…