All good men are married, so sad

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Nasikia.,
Khadija mke mkubwa aliridhia iwe hivyo...ss sijui km ni kweli au la

inategemea utaishije na mwenzio

all in all ukijishusha kimya kimya unamind yako hamna linaloshindikana
Hata kama yeye ana kelele ataona mbona mtu mwenyewe hana hata kelele?.
 
asante. sawa mimi Malaya ila kumbuka na wewe una dada zako ninayoyapitia muda huu nao watayapitia nao wataitwa Malaya. asante.
 
Nasikia.,
Khadija mke mkubwa aliridhia iwe hivyo

inategemea utaishije na mwenzio

all in all ukijishusha kimya kimya unamind yako hamna linaloshindikana
Hata kama yeye ana kelele ataona mbona mtu mwenyewe hana hata kelele?.
asante kwa mawazo
 
Ogopa mwanamke anajiona smart, tena mdini aisee... ni bora kuoa nyamayao
 
Hongera, bandiko lako limekaa vyema, wanaotafuta wachumba wajifunze kwako kuandika mabandiko yao3😂😊😊😂
 
Hongera, bandiko lako limekaa vyema, wanaotafuta wachumba wajifunze kwako kuandika mabandiko yao3😂😊😊😂
watu humu wanakatisha tamaa. nahis wanawake wengi mlishapitia hii situation ila basi tu hamjasema. asante
 
Nashindwa kuoa sababu napenda kukaa peke yangu.
 
Kila la kheri mpendwa
But 36yrs unmarried man? Mhmm
Nawaza Mimi tangu 20 up to now 27 tayar married sasa nawaza wa 27+10 kweli yupo? Ila Mungu ni mwema na hongera sana Kwa kutafuta wako
 
Just trust me am a good 1 and am not married, age 27, edu uni, if you don't about age welcome for private conversation...
 
Just trust me am a good 1 and am not married, age 27, edu uni, if you don't about age welcome for private conversation...
ahaaaaa wewe mtoto wacha kunichekesha dah, mdogo wangu ana 27 na wewe sasa ntakuweka wapi? hapana mdogo wangu mimi silei wanaume nataka mzee mwenzangu ambae halii lii njaa huduma zote Napata.nadekezwa.

nb. hata kama una uwezo kwangu yeyote ninaemzid umri ni mtoto.sawa dogo?
 
Hahahaah sawa Dada mekuelewa ila kuhusu swala la kulia lia njaa nitoe ktk hilo kundi sina kipato kikubwa ila ktk business zangu profit minimum per month ni 2m ivyo under ceteris peribus ninauwezo wa kukuweka ndani na ukaenda choon kila siku na huduma nyingine zote ukapata hadi unaiaga dunia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…