All in one HP Envy 20TB plus 2TB SSD inauzwa

All in one HP Envy 20TB plus 2TB SSD inauzwa

Shida inayofanya hii mashine iwe gharama ni hiyo SSD 2TB.. mtu akiniambia tu bei pungufu huwa naona bado hajajua utamu wa mashine za SSD.

Gharama tu ya SSD 2TB ukiachana na specs zingine zote Ram na other storage hii bei ni fair mno kwa mjuzi wa mashine.

Hebu weka maneno sawa kwa sababu kama PC uliyonayo ipo kama kwa hizo picha umeshare ambayo ni HP Envy 27-b255qd, then specs zake zinaonesha ina hard disk drive na solid state drive kwamba, 2T ni HDD na SSD ni 256GB
 
Hebu weka maneno sawa kwa sababu kama PC uliyonayo ipo kama kwa hizo picha umeshare ambayo ni HP Envy 27-b255qd, then specs zake zinaonesha ina hard disk drive na solid state drive kwamba, 2T ni HDD na SSD ni 256GB

Soma hii line yangu hapa ya kwanza uielewe vizuri na uniambie kama ni wapi pametofautiana na ulichoandika wewe hapo juu

Computer ya HP all in one inauzwa ina internal Storage ya SSD 2TB na EXTERNAL STORAGE ya 18TB.

Kuna ambapo hujaelewa mpaka sasa bwana Watu8 ??? kama kupo karibu kwa maswali.
 
Soma hii line yangu hapa ya kwanza uielewe vizuri na uniambie kama ni wapi pametofautiana na ulichoandika wewe hapo juu

Kuna ambapo hujaelewa mpaka sasa bwana Watu8 ??? kama kupo karibu kwa maswali.

Katika maelezo yako umeandika hiyo PC uko nayo SSD storage capacity ni 2T(internal) na 18T(external) ...

Specs zake mtandaoni zinaonesha internal storage ni hybrid ya hard na solid, ambapo hdd ni 2T na ssd ni 256GB...

Ina maana kwenye maelezo haya huoni utofauti mzeiya?
 
Katika maelezo yako umeandika hiyo PC uko nayo SSD storage capacity ni 2T(internal) na 18T(external) ...

Specs zake mtandaoni zinaonesha internal storage ni hybrid ya hard na solid, ambapo hdd ni 2T na ssd ni 256GB...

Ina maana kwenye maelezo haya huoni utofauti mzeiya?
inayouzwa ni PC ya mtandaoni au inauzwa PC personal niliyonayo mkuu?

Au huoni kama nimesema PICHA ya PC ndio ipo hivyo, hiyo ya Mtandaoni umeona ina 18tb??

Hujui kuna PC upgrade? au kwasababu ukiambiwa Model flani unadhani ipo vile vile kama huko mtandaoni ulivyoiona?

Hiii sio PC toka dukani ilikua inatumika kwahyo usitegemee mtu atatumia mashine kubwa kama hiyo ya gharama hivyo kwa Storage ya 256gb.

Fata Kile Nimeandika sio hicho ulichosoma mtandaoni, Mtandaoni pata picha tu ya muonekano wa PC lakini sifa za PC fata maelekezo niliyotoa kwenye POST yangu sio mtandaoni.

karibu kwa swali lingine Watu8
 
Kushuka naweza mkuu ila nikishuka nashuka na hizo specification

yani nashuka na storage nashuka na RAM nashuka navyo vyote tunaishia kufanya

biashara ya Mashine tu ikiwa na low storage,Low Memory, And everything.

Is perfect computer for a perfect need, bold perfect need, kama wewe ni muitaji wa hela twende na 800,000 as is.
 
Is perfect computer for a perfect need, bold perfect need, kama wewe ni muitaji wa hela twende na 800,000 as is.
Machine as a machine, welcome inbox... storage zangu nabaki nazo
 
Back
Top Bottom