Ebu imagine Shabab wakiingia Kenya visa free.....haha mtakoma! Ila nyie tayari mna wasomali wengi sijui kwa nini unalalamika. Sisi ndio tunaopaswa kuwa na wasiwasi.hii itakua makosa makubwa sana...Somali haifai kukubaliwa hata iwe nchi sembuse mwanachama wa EAC....alshabaab watakuwa wakisafiri kana kwamba ukanda huu ni wao...
Kama ni usomali ndo unauogopa, tuulize sisi ambao tuna wananchi wenzetu ambao ni wasomali. Hawa jamaa kwenye biashara ni hatar! Ukipatana na msomali, sanasana ambaye ni mkenya, ndugu yangu utakubali! Nyangau Reloaded! Mtaliwa hadi basi. 😀 B.t.w. mtu asithubutu kuiba jina hilo la 'Nyanga'u Reloaded'! Ntakapo pigwa ban yangu ya kwanza hiyo ndo ntaibuka nayo kama username yangu ya pili! 🙂hii hatari sana maana yake somalia watakuwa wakiingia nchi zetu bila visa na vibali dah hatari
nazugumza kwa niaba ya EAC nzima....magaidi wa somalia hawafai kamwe kupenyeza mpaka tz, ug na rwanda...magaidi wakija tz, kenya pia tunaumia.....afadhali wasomali wabaki tu somalia na sehemu za eastern kenya...Ebu imagine Shabab wakiingia Kenya visa free.....haha mtakoma! Ila nyie tayari mna wasomali wengi sijui kwa nini unalalamika. Sisi ndio tunaopaswa kuwa na wasiwasi.
We acha bana! Wasomali wakienda watulie sehemu fulani huwa hawana ishu yeyote. Wanapiga biashara zao tu, basi. Gaidi ni gaidi tu, wasomali wengi hawakubali hayo mambo!nazugumza kwa niaba ya EAC nzima....magaidi wa somalia hawafai kamwe kupenyeza mpaka tz, ug na rwanda...magaidi wakija tz, kenya pia tunaumia.....afadhali wasomali wabaki tu somalia na sehemu za eastern kenya...
Sababu nyinyi mnaichukia TZ na kudharau kuwa ni Nchi hafifu mlengo wa LDC si basi vyema TZ watoke EAC Somali waingie..Si wasomali ni wangwana sana na hawana chuki kama TZ? ama namna gani my frens?nazugumza kwa niaba ya EAC nzima....magaidi wa somalia hawafai kamwe kupenyeza mpaka tz, ug na rwanda...magaidi wakija tz, kenya pia tunaumia.....afadhali wasomali wabaki tu somalia na sehemu za eastern kenya...
kwanza kwann wanafunga Daadab camp? makes no sense kwavile somalia as a member of EAC will be allowed free movement!Sababu nyinyi mnaichukia TZ na kudharau kuwa ni Nchi hafifu mlengo wa LDC si basi vyema TZ watoke EAC Somali waingie..Si wasomali ni wangwana sana na hawana chuki kama TZ? ama namna gani my frens?
Eti Daadab inafungwa? Naona umerudi kwenye ule uongo wako wa kawaida.kwanza kwann wanafunga Daadab camp? makes no sense kwavile somalia as a member of EAC will be allowed free movement!
Eti Daadab inafungwa? Naona umerudi kwenye ule uongo wako wa kawaida.
Plans to close the camp were suspended. Giving way to voluntary repartriation. Nothing is new in that arena.The Dadaab refugee camp is home to thousands of refugees, most of whom have spent half of their lives in the world’s biggest refugee camp. Since the Kenyan government announced its plans to shut down the camp, several refugees have voluntarily exited, threatening to leave the camp isolated. As ktn news found out activities at the camp are gradually weakening
Akili zile zile ndizo unazileta hapa, japo wewe sitokuita mpumbavu kwasababu ninakuheshimu, ila nitakuita mjinga, mjinga ni mtu anayetaka kuelimishwa na ukimuelimisha huwa anaelewa.Kwa matusi haya ni wazi kwamba sindano imekuingia. Matusi hayabadili uhalisia wa mambo. Akili zako unazielewa mwenyewe. Mara unasema kwamba Tz haiwiezi hukumiwa kwa mambo yaliyofnyika kabla ya uhuru, baada yake unatumia hiyo hiyo historia kuendeleza pumba zako. Kwani baada ya uhuru kuna watu wapya ambao walihama wakaingia na kuchukua nafasi ya wakazi wa Tz? MAU MAU haikupigania uhuru wa wasomalia. Damu walomwaga ndo inafanya hadi sasa tujiite wakenya ndani ya nchi ya Kenya. Ikifika kwenye ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya ukoloni wa mzungu, usijaribu tena siku nyingine kulinganisha Kenya na mambo ya kipuuzi!
Ukisaidia kwa matumaini ya kulipwa, huo sio msaada bali unafanya biashara, sisi sio manyang'au.Kumbe kusaidia ndo kupeana uhuru? Haya basi, mbona sasa hivi wao pia hawawasaidi kupata uhuru wenu wa kichumi na kimaendeleo? Yaani wamewatupa kuule, sasa hivi wanapaa wakiwa pekee yao. Au usaidizi mlowapa hawakuwa wanauhitaji sana?
Ninaona unampinga Mtanzania mwenzako pia...mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadamu mchungu! Shithole mentality.Kwahiyo kama ni mtanzania mawazo yake anayoyasema hayapaswi kusikilizwa na wakenya?
Tano TenaSababu nyinyi mnaichukia TZ na kudharau kuwa ni Nchi hafifu mlengo wa LDC si basi vyema TZ watoke EAC Somali waingie..Si wasomali ni wangwana sana na hawana chuki kama TZ? ama namna gani my frens?
Tz imekuwa LDC since independence...Hahahaha.Hakuja fanyika utafiti mwengine baada ya huo, kwa hiyo matokeo ya mechi ya mwisho ndiyo yanayoendelea kuaminiwa hadi timu zitakaporudiana tena, kwa sasa hivi Yanga ndiye bingwa japo simba inaongoza ligi.
Tafiti hupingwa kwa tafiti, sio vinginevyo, kama tafiti ya mwisho inaonyesha Kenya ni failed state na Tanzania ni LDC, zitabaki kuwa hivyo hadi tafiti zingine zitakapofanyika na kutoa matokeo tofauti, punguza kutumia utashi wa akili yako
yap..tunaidharau tz sana...it is an LDC country and it is underdeveloped and backward but it is way better than Somalia...Sababu nyinyi mnaichukia TZ na kudharau kuwa ni Nchi hafifu mlengo wa LDC si basi vyema TZ watoke EAC Somali waingie..Si wasomali ni wangwana sana na hawana chuki kama TZ? ama namna gani my frens?
Kenya is a failed state since independece, people die from hunger since indepence[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tz imekuwa LDC since independence...Hahahaha.