All races were created were belong to, we were never all black Africans

You must speak your own English, reason to call it the queen language 😀😀😀, but those who know English understood like my English wife.
 
Umefanya la maana sana kuandika kiswahil maana dah! Wengine siye luga gongana tu.
 
Tunapenda kiingereza lakini hakitupendi kabisa wengi wetu tunalazimisha tu.Hapo maneno yameunganishwa tu na gundi ukimpa mzungu atashindwa kuelewa ulikuwa unataka kusema nini?
Nimemwambia lakini akasema kuwa hicho Kiingereza MKEWE anakielewa! Sasa kwa nini kakiandika humu? Hata hivyo hatuna budi kuchukuliana naye!
 
Arabs are originally Africans mixed with Romans and Greeks. Ishmael was the elder son of Abraham even their physical feature confirms this.
 
Arabs are originally Africans mixed with Romans and Greeks.Ishmael was the elder son of Abraham even their physical feature confirms this
Haiwezekani, Waroma walipofika mashariki waliwakuta Waarabu tayari. Hawakukuta pale Waafrika ili waanze kuzaa.

Pia hujui kitu chochote kuhusu physical features za Abraham au Ishmael.
 
Arabs are originally Africans mixed with Romans and Greeks.Ishmael was the elder son of Abraham even their physical feature confirms

Haiwezekani, Waroma walipofika mashariki waliwakuta Waarabu tayari. Hawakukuta pale Waafrika ili waanze kuzaa.
Pia hujui kitu chochote kuhusu physical features za Abraham au Ishmael.
Mama yake Ishmael alikuwa Mmisri.labda Kama wewe bado huamini kuwa Wamisri walikuwa waafrika.Weupe wameupatia kwa Waroma na Wagiriki.Angalia Wamisri wa Sasa walivyo,Wana weusi bado.hawakuchanganyika sana.au wasudani kaskazini
 
Ninachokijua Mimi wengi wenye mtizamo wako,Ni wake wanaoamini katika ubora wa jamii flani flani na Mwafrika akiwa chini kabisa.yaani sisi Yuko karibu zaidi na nyani kuliko jamii nyingine.ujue nature does not strike twice.
 
Unajisumbua bure,madini unayo halafu mtoa mada mwepesi! anabisha ili umwagie madini zaidi amalizie assignment aliyopewa huko darasani kwake UK
 
The concept of race is a social construct.

There are no scientifically established demarcation of where on so called race ends, and another begins.
 
You must speak your own English, reason to call it the queen language 😀😀😀, but those who know English understood like my English wife.
The problem is miss spelling of where, it was typing error, but if you really know English first of all you would answer me in English, and would understood all what I have said 😀 😎
 
ingawa naifahamu fluentlly lugha hii ya Queen! I am sorry for this!


Hata wewe huijui hii lugha vyema, kwasababu:-

1--- ungalikuwa unaijua vyema, japokuwa mleta mada angalikuwa kakosea hiyo Lugha bado ungalijua msingi wa alichotaka kusema.
2---unaposema unaijua hiyo Lugha "fluentlly", tayari inaonyesha jinsi usivyojua kwamba hakuna neno FLUENTLLY katika kiingereza bali lipo neno Fluently, isitoshe huwezi kusema; najua lugha fluently bali unatakiwa useme; naongea lugha fluently.
 
Have you tried The Africa Historians

Germany and Russia? are you serious? Where hate is built?

This is how bigotry is built.
 
Not all whites hate blacks, and for your fact the races differences are many not just the skin color but even bone and muscle structures like of noses , mouths, legs and hips, Also the Sun make some of white hair blond not black, so why their hair turned to blond where there is no much of the sun, or other colors but when some of them move to Africa their hair gets blonder.
 
Sijui Kama umewahi sikia neno Neanderthal.fanya utafiti,maoni yako mengi yanajibiwa hapo.google Mkuu
 
Umeongea pointless kaka, japo kwa mtyu asiye elewa ataona ni ukweli.Kasome vizuri origin ya mwanadamu,kwenye vitabu vya sayansi au mtandao. Lakini mwisho wa siku nakuhakikishia utakubaliana na jamaa alieandika hiki kitu.Yupo mbunifu na muumbaji alieumba binadamu wote tofauti na wengine(race),kama tunavo waona leo,yaani watu weupe weusi,au wekundu n.k ,Mageuzi unayoyaongelea hayaendani na kipindi mwanadamu alichoishi duniani. Thank you
 
.Yupo mbunifu na muumbaji alieumba binadamu wote tofauti na wengine(race),kama tunavo waona leo,yaani watu weupe weusi,au wekundu n.k ,Mageuzi unayoyaongelea hayaendani na kipindi mwanadamu alichoishi duniani. Thank you
Asante kwa mchango wako. Lakini hatuko pamoja. Ni dhahiri mabadiliko katika spishi (aina ya viumbehai) yanaweza kutokea katika muda wa miaka elfu kadhaa.
Kwa wanyama imethibitishwa tangu Mzee Darwin alichungulia ndege kwenye visiwa vya Galapagos. (angalia Darwin's finches).
Hali ya utaalamu ni takriban hiyo:
There is a direct correlation between the geographic distribution of ultraviolet radiation (UVR) and the distribution of indigenous skin pigmentation around the world. Areas that receive higher amounts of UVR, generally located closer to the equator, tend to have darker-skinned populations. Areas that are far from the tropics and closer to the poles have lower intensity of UVR, which is reflected in lighter-skinned populations. Human populations over the past 50,000 years have changed from dark-skinned to light-skinned and vice versa as they migrated to different UV zones.
Maana mtu mweupemweupe anapata matatizo penye UV nyingi (=karibu na ikweta), idadi ya kansa ya ngozi inaongezeka.
Penye UV kidogo mtu mweusimwesui anapata matatizo maana anakosa vitamini D.

Maana yake ni sehemu kubwa kidogo ya watoto weupe kwenye ikweta watakuwa wagonjwa na kufa mapema, hivyo idadi yao itapungua (hadi kupotea baada ya miaka elfu kadhaa - bila uhamiaji na bila tiba ya kisasa)

Vivyo hivyo sehemu kubwa kidogo ya watoto weusi kwenye sehemu za kaskazini watakuwa wagonjwa na kufa mapema, hivyo idadi yao itapungua (hadi kupotea baada ya miaka elfu kadhaa - bila uhamiaji na bila tiba ya kisasa)
 
Tunapenda kiingereza lakini hakitupendi kabisa wengi wetu tunalazimisha tu.Hapo maneno yameunganishwa tu na gundi ukimpa mzungu atashindwa kuelewa ulikuwa unataka kusema nini?
Yaani acha tu...nimesoma mistari mitatu tu hamu ikaniishia nikaacha
 
Common errors on wirtten /spoken language pronunciations'!!! (lazima!! nasema lazima!!) ziwepo Kwa Lugha iwayo yeyote ile Duniani na kwa mtu yeyote yule!! mahali popote! Duniani hata kwa wazawa kindaki ndaki!! Waingereza na wagiriki woote wenye Lugha yao!! ni Maarufu km ''Common Mistake subjects''

Hili lilikuwa ni somo maalum lenye mtaala uliokubalika kabisa ufundishwe mashuleni! na Wizara yet Mama, wengine siyo makosa yenu, Ni either hamkusoma kabisa au hamkufundishwa au mlizembea au shule za st, kayumba UPE walikuwa weengi!! au yoote hayo yana wahusu!!

Hata waswahili humu JF, kwa Lugha yenu Mama!!, nina ona wana makosa mengi sana kiuandishi!! hata mimi huwa nakosea sana tu lkn nagundua baadaye sana, ila kwa sababu nilisoma ''common Mistake subjects'' nikaelewa, hili somo hainipi shida kwa hadhira,

Nikigundua pale hivi! pale vile! lkn sasa imesha toka siwezi irudisha! hii ni inakuwa zaidi kwa wale wepesi wa ku type! kidaktari watu wenye akili km hizi nyepesi wanaitwa kitaamu ''Precarioscient'' mawazo yao huenda kwa kasi sana. hilo ni somo jingine!! kwa siku nyengine!!

Kama hii imekupa shida kuielewa basi u miongoni mwao hao!! una jina lako kitaalamu waandishi wa habari wanajua.... so wewe umeathiliwa na mchangia mada wa kwanza kabisa kumsoma!! amekuambukiza kisaikolojia zaidi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…