Hujtambui ndoo maana unatoa Pov mwenyezmungu amesemaje ktk kutafta rzk? Amesema na ameonyesha misingi yakutafta rizk alaf leo hii unasema umetafta kaz umekosa ndoo maana umuaswi Allah ufanye kwenye kiwanda cha bia. Hata uchukie kuambiwa haitabadilisha maneno ya Allah fkr kwa makn hii dunia tunakumbushana na ww wakumbushe wengne ili tusalimike na moto wa Allah