Allahmdulilah picha: Dube kafunguliwa majini yameondolewa

Allahmdulilah picha: Dube kafunguliwa majini yameondolewa

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Ni majini tu alitupiwa. Alisomewa na Azam kisomo akatupiwa majini. Kuna watu wamempeleka kuombewa. Dube kafunguliwa. Sasa atakiwasha sana.

Wamemwambia sasa asiache kuomba na ajitoe kabisa kabisa katika mambo ya kusomewa kisomo au kuchomewa ubani. Anasema anajisikia mwepesi sana baada tu ya kuombewa na kufunguliwa. Ule uchovu umemtoka kabisa. Na leo ametupia.

Screenshot_2024-12-14-19-52-48-416_com.instagram.android~2.jpg
 
Ni majini tu alitupiwa. Alisomewa na Azam kisomo akatupiwa majini. Kuna watu wamempeleka kuombewa. Dube kafunguliwa. Sasa atakiwasha sana.

Wamemwambia sasa asiache kuomba na ajitoe kabisa kabisa katika mambo ya kusomewa kisomo au kuchomewa ubani. Anasema anajisikia mwepesi sana baada tu ya kuombewa na kufunguliwa. Ule uchovu umemtoka kabisa. Na leo ametupia.

View attachment 3176731
Kuna dini zilizo wazi kabisa hazifai kabisa kuwa dini, basi tu mazwazwa ni wengi mno dunia hii na ukiwaambia ukweli wanataka kukutupia majini ili usiongee ama kutaka kukuua kabisa usiseme ukweli dhidi ya dini yao. Dini gani inatawala waumini wake kimabavu na kutumia propaganda nyingi zisizo na ukweli wowote, ukitaka kuachana nayo unasomewa kisomo ufe au unatafutwa uuliwe.
 
Kuna dini zilizo wazi kabisa hazifai kabisa kuwa dini, basi tu mazwazwa ni wengi mno dunia hii na ukiwaambia ukweli wanataka kukutupia majini ili usiongee ama kutaka kukuua kabisa usiseme ukweli dhidi ya dini yao. Dini gani inatawala waumini wake kimabavu na kutumia propaganda nyingi zisizo na ukweli wowote, ukitaka kuachana nayo unasomewa kisomo ufe au unatafutwa uuliwe.
Mkuu mimi niliwaambia allah hana akili wakaapa kunisomea albadiri nikawaambia hakuna jini wa kushindana na mimi hata allah ni fala tu, mpaka leo allah wao kaingia mitini.
 
Ni majini tu alitupiwa. Alisomewa na Azam kisomo akatupiwa majini. Kuna watu wamempeleka kuombewa. Dube kafunguliwa. Sasa atakiwasha sana.

Wamemwambia sasa asiache kuomba na ajitoe kabisa kabisa katika mambo ya kusomewa kisomo au kuchomewa ubani. Anasema anajisikia mwepesi sana baada tu ya kuombewa na kufunguliwa. Ule uchovu umemtoka kabisa. Na leo ametupia.

View attachment 3176731
Ukristo kwakweli umeingiliwa
 
Tusubiri tuone ila kuna kitu kimeingia ktk football coz kuna kiongozi mmoja wa dini ktk mahubiri yake nilimsikia kupitia video aliyoipost mtandaoni akisema kuwa sasa hv football ndio mchezo unaofuatiliwa na na watu wengi duniani kushinda music au hata siasa na mtu mwenye wafuasi wengi ktk mitandao ya kijamii ni mcheza mpira wa miguu hivyo ili nawe uwe maarufu unatakiwa uwafuate hukohuko ktk mpira sasa unajiuliza kiongozi wa wa kidini unawafuataje watu ktk mpira na wakuelewe jibu ni moja nalo ni tengeneza tatizo kisha lipatie ufumbuzi
 
Tusubiri tuone ila kuna kitu kimeingia ktk football coz kuna kiongozi mmoja wa dini ktk mahubiri yake nilimsikia kupitia video aliyoipost mtandaoni akisema kuwa sasa hv football ndio mchezo unaofuatiliwa na na watu wengi duniani kushinda music au hata siasa na mtu mwenye wafuasi wengi ktk mitandao ya kijamii ni mcheza mpira wa miguu hivyo ili nawe uwe maarufu unatakiwa uwafuate hukohuko ktk mpira sasa unajiuliza kiongozi wa wa kidini unawafuataje watu ktk mpira na wakuelewe jibu ni moja nalo ni tengeneza tatizo kisha lipatie ufumbuzi
Mkuu punguza kula ugali, hudumaza sana akili.
 
Mkuu punguza kula ugali, hudumaza sana akili.
Kumbuka hata nyerere rais wa kwanza wa tanzania ktk miaka ya 70 kupelekea 80 nchi ilipopatwa na janga la njaa alienda Marekani kuomba misaada wa chakula na alileta unga wa ugali wa njano alimaarufu unga wa yanga leo wewe unauletea dharau ugali
 
Back
Top Bottom