Allahmdulilah picha: Dube kafunguliwa majini yameondolewa

Allahmdulilah picha: Dube kafunguliwa majini yameondolewa

Kumbuka hata nyerere rais wa kwanza wa tanzania ktk miaka ya 70 kupelekea 80 nchi ilipopatwa na janga la njaa alienda Marekani kuomba misaada wa chakula na alileta unga wa ugali wa njano alimaarufu unga wa yanga leo wewe unauletea dharau ugali
Ule unga ulisemwa vibaya, kile kizazi kilichokula ule unga wa "Yanga " kilikuwa na changamoto nyingi zikiwemo za akili.
 
Mkuu mimi niliwaambia allah hana akili wakaapa kunisomea albadiri nikawaambia hakuna jini wa kushindana na mimi hata allah ni fala tu, mpaka leo allah wao kaingia mitini.
Hawajaja kukutishia na mabomu nyumbani kwako?
 
Nimejifunza kitu kwa suala Dube. Ni kweli alitupiwa majini. Akaenda ombewa. Sasa ana moto mara 2 yake
 
Back
Top Bottom