Allen and Kasie....

Ushakoroga hapo kasie

Hahahaaa

[emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa bila kukoroga ungechekajee.... lengo langu ucheke bin ufurahi.... hehehehehee kumbe hujajua teknik za Kasie eeeh hahahaa Daby knows me very well.
 
Ulitakiwa ujibu [emoji116]

Iikoo

Thanks, japo najua.... Wafikiri nikiwa na Daby faragha tukiwa tumeshachoshana tunaongea kwa sauti za minong'ono tunazungumza nini zaidi ya kimasai.... hehehehhee

Ashenaleeehhk
 
Thanks, japo najua.... Wafikiri nikiwa na Daby faragha tukiwa tumeshachoshana tunaongea kwa sauti za minong'ono tunazungumza nini zaidi ya kimasai.... hehehehhee

Ashenaleeehhk
Hommie Daby uje huku !
 
Sasa bila kukoroga ungechekajee.... lengo langu ucheke bin ufurahi.... hehehehehee kumbe hujajua teknik za Kasie eeeh hahahaa Daby knows me very well.
Sawa shemela...

Msalimie Daby naona bado hajaamka
 
Sawa shemela...

Msalimie Daby naona bado hajaamka

Hehehehehee mi naogopa kuitana shemeji sijui shemela wanasemaga inaliwagaa.....

Salamu zimefika, ameshaamka ila majukumu yamemkamata, akimalizana nayo atakuja hapa.
 
Jamani mbona mnamsumbua Daby? Niliwaambia yuko kwenye special task ya uchaguzi wa Kenya, once uchaguzi umeisha mtamuona.

Japo pia haimzuii akipata wasaa mtamuona niko nae bennet bega kwa bega bamper to bamper ...

Sasa kwa kuwa Daby ni swahiba wangu, naruhusiwa kumshikia nafasi yake kwa hichi kipindi chote atakapokuwa kwenye special task? Huyu Allen atatupeperushia njiwa wetu ati!
 
Aiseeh pole sana, kwanini lakini mpenz wako anakufanyia hivo....!! Mwambie sio vizuri.....
Hehehehehee poyeee.
Mapenzi wazimu ananimaliza na kitumbua chake ndiyo sababu kubwa
 
Sasa kwa kuwa Daby ni swahiba wangu, naruhusiwa kumshikia nafasi yake kwa hichi kipindi chote atakapokuwa kwenye special task? Huyu Allen atatupeperushia njiwa wetu ati!

Hahahahahahaaa weeeh sidanganyiki ng'oo inapokuja swala la Daby wangu, amarula na wine zote zinaisha kichwani.....
Le Mahabat wangu Daby ana provide kila kitu kuanzia utosini hadi unyayoni.....

Kasie yuko na Daby.. hadanganyiki ng'oo...
 
hiyo mechi ya Akhamisi aliyokua anaitizama ilikua ni kati ya timu zipi aisee? 😉 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…