Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushakoroga hapo kasieHahahahahahaaa najua niko makini sana inapokuja ishu ya Daby...
Subhaiii.. .. habariiinyoo ....
Ulitakiwa ujibu [emoji116]Hahahahahahaaa najua niko makini sana inapokuja ishu ya Daby...
Subhaiii.. .. habariiinyoo ....
Jamani mbona mnamsumbua Daby? Niliwaambia yuko kwenye special task ya uchaguzi wa Kenya, once uchaguzi umeisha mtamuona.
Japo pia haimzuii akipata wasaa mtamuona niko nae bennet bega kwa bega bamper to bamper ...
Mapenzi wazimu ananimaliza na kitumbua chake ndiyo sababu kubwaAiseeh pole sana, kwanini lakini mpenz wako anakufanyia hivo....!! Mwambie sio vizuri.....
Hehehehehee poyeee.
Sasa kwa kuwa Daby ni swahiba wangu, naruhusiwa kumshikia nafasi yake kwa hichi kipindi chote atakapokuwa kwenye special task? Huyu Allen atatupeperushia njiwa wetu ati!