Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Watu wengine wanaongea tu kiushabiki. Mambo mengine yapo wazi mkuu.Uko sahihi Mkuu, hata picha za marejeo hazionyeshi faulo yoyote zaidi ya clearance ilisababisha mgusano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wengine wanaongea tu kiushabiki. Mambo mengine yapo wazi mkuu.Uko sahihi Mkuu, hata picha za marejeo hazionyeshi faulo yoyote zaidi ya clearance ilisababisha mgusano.
Magoli gn ya wazi waliyokosa? Au umesimuliwa mpira?Huyu Mmoroko anawaghalimu sana Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.
Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana kuna muda walikuwa kama hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.
Mechi irudiwe Ili wapewe nafasi ya kubadili kipa,l. Nadhani kwakuwa makipa ni wengi mitandaoni wanayo nfasi nzuri sana ya kuchaguana.Wewe si ulicheza nao? Hebu tukumbushe matokeo yalikua vipi?
Alafu muache uonevu, litimu ambalo nyie mmeshindwa kulifunga, mnawalaumu vipi wengine wakishindwa?
Hebu kuweni serious asee!
Uyo kipa mmbovu nyie mlimfunga ngapi?[emoji23]Golikipa mzigo, sijui walitumia vigezo gani kumsajili.
Watu hawajui tu kwa sababu hawajawahi kukaa pale golini mpira ukidunda mbele ya kipa unabadilisha uelekeo ndio maana unaona wachezaji wakipiga mashuti wanakadilia umbali abao mpira utadunda mbele ya kipa au wakipiga vichwa mara nyingi wanadundisha mpira chini hawafanyi vile kwa makusudi lengo ni kumpoteza kipaUnaweza kumlam kwa goli la 3 ila asikuambie mtu! Mipira inayokuja ikadunda inachanya sana makipa! Huwa inabadilisha direction
msisahau alidaka penati ya djuma shaaban wa yangaHuyu Mmoroko anawaghalimu sana Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.
Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana kuna muda walikuwa kama hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.