Ally Ahmada anaigharimu Azam FC

Uko sahihi Mkuu, hata picha za marejeo hazionyeshi faulo yoyote zaidi ya clearance ilisababisha mgusano.
Watu wengine wanaongea tu kiushabiki. Mambo mengine yapo wazi mkuu.
 
Huyu Mmoroko anawaghalimu sana Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.

Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana kuna muda walikuwa kama hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.
Magoli gn ya wazi waliyokosa? Au umesimuliwa mpira?

Azam walikuwa bora eneo moja tu la kipre Jr bas, azam hawajafanya mashambulizi ya maana ukitoa yale magoli yao mawili
 
Wewe si ulicheza nao? Hebu tukumbushe matokeo yalikua vipi?


Alafu muache uonevu, litimu ambalo nyie mmeshindwa kulifunga, mnawalaumu vipi wengine wakishindwa?

Hebu kuweni serious asee!
Mechi irudiwe Ili wapewe nafasi ya kubadili kipa,l. Nadhani kwakuwa makipa ni wengi mitandaoni wanayo nfasi nzuri sana ya kuchaguana.
Timu nyingine ikishinda goli tano wachezaji wao bora, mpinzani akishinda lawama kwa makipa. Huu ni u Aden uliopitiliza

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kumlam kwa goli la 3 ila asikuambie mtu! Mipira inayokuja ikadunda inachanya sana makipa! Huwa inabadilisha direction
Watu hawajui tu kwa sababu hawajawahi kukaa pale golini mpira ukidunda mbele ya kipa unabadilisha uelekeo ndio maana unaona wachezaji wakipiga mashuti wanakadilia umbali abao mpira utadunda mbele ya kipa au wakipiga vichwa mara nyingi wanadundisha mpira chini hawafanyi vile kwa makusudi lengo ni kumpoteza kipa
 
Kipa hana shida labda tatizo ka fungwa na yanga mbona huko nyuma kabla ya hapo hakuna aloongea ayo au kwa kua kafungwa
 
Kama alivyoigharimu Simba Manula ngao
 
Huyu Mmoroko anawaghalimu sana Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.

Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana kuna muda walikuwa kama hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.
msisahau alidaka penati ya djuma shaaban wa yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…