Ally Aurora afariki dunia

Ally Aurora afariki dunia

Bajabiri

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
9,728
Reaction score
1,204
Nimepata taarifa (za uhakika) kuwa Mmiliki wa kampuni ya Aurora Security bwana Ally Suleyman amefariki dunia.

Alonipa habar hizi ni ndugu yake wa karibu....
 
R. I. P Mkuu! Bwana ametoa, Bwana ametwaa!
 
habari nilizozipata hivi punde ni kwamba yule mmiliki wa AURORA SECURITY na promota wa mapambano ya ngumi hapa nchini ALLY SULEIMAN AURORA amefariki dunia..R.I.P
 
Sitaki kuamini habari mbaya kuhusu uhai wa ally aurola zilizo zagaa mitaani.
Mwenye habari kamili kuhusu Ally atujuze. inasikitisha sana.
 
Duu! Huyu jamaa kafariki..pole sana wafiwa.
 
Innalilah Wainailayhi Rajiun.


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
APEPE (ALALE PEMA PEPONI) Ally Aurora!
 
habari nilizozipata hivi punde ni kwamba yule mmiliki wa AURORA SECURITY na promota wa mapambano ya ngumi hapa nchini ALLY SULEIMAN AURORA amefariki dunia..R.I.P
Hivi huyu ndo mmiliki wa kampuni ya kukodisha magari ya Aurora pia?
 
mchezo wa ngumi utadumaa tena coz yeye ndo alikuwa kauinua.
r.i.p ally.
 
matapeli wa dhahabu, copper na nyumba wameondokewa na mwenzao muhimu. Kila mtu atarudi mavumbini.
 
Watu wanao mdai...wakijipanga wanafika Kibaha..dhurumati

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom