Umesahau kama nifanyavyo kwa Mdude na Mwenyekiti wa kudumu.Sijawahi kumkubali huyo kiongozi dhalimu hata siku moja. Na kama ni kuanika huo uovu wake, nilifanya hapa hapa jukwaani toka akiwa hai kama ufanyavyo ww kwa huyo Mdude.
na wewe sometimes unakuwa kama sio mtu mzima, mkumbuke fadhila unadhani wakati wa jiwe hakukuwa na mahakama?!..Mbonà unakuwa juha, Hawa wanatetea demokrasia, kosa liko wapi?
Anajikuta che GuevaraWaeleze waelewe wasidhani watu wanavotaka kuanza upya ili jumuiya ya kimataifa ione wao wako huru kutotumia akili! Mbona sisi ni wakosoaji toka jpm hadi leo tupo hakuna wa kutukamata wala nini, sasa huyo dogo anajiona mpambanaji sana kuliko wengine
Sawa mtetez wa mdude tumekupatBananga anataka kusema Mdude alikuwa mgonjwa wa akili kabla hajapelekwa jela? au amekuwa mgonjwa wa akili baada ya kutoka jela?
Mdude jana hakumtukana Rais, ni kauli aliyoitoa ndio imeonekana kuwashangaza/shtua wengi, japo nina hakika wengi wenu mkiambiwa muoneshe tusi kwenye ile kauli hamtaweza, mnatumia hisia zaidi kuhukumu.
Mmekuwa mkifikiria hili jambo kwa upande mmoja tu, kwanini hamfikirii na mateso aliyopitia Mdude akiwa gerezani muda wote huo kwa makosa ya kubambikiwa?
Nae ni binadamu, ana hisia, muacheni atoe frustrations zake, badala ya kusema akajifungie ndani huku sheria za nchi zikiendelea kuvunjwa, na mvunjaji ndio mnamlinda kama malaika, mnamvimbisha kichwa azidi kujisahau aendelee kufanya apendavyo.
Ikulu ni ofisi ya umma, na yeyote anaekaa pale ana jukumu la kuwatumikia wananchi bila kujali itikadi zao, usawa na haki viwepo kwa wote, akijisahau kwa hilo ni lazima akumbushwe, mahaba yenu kwa "mama" yatazidi kumuharibu, amkeni.
Nyie ndo mnaomjaza kichwa, endeleeni kumpumbaza kwa vijimaneno vyenu visivyo na kichwa wala miguu mtajuta shauri yenu!!Bananga anataka kusema Mdude alikuwa mgonjwa wa akili kabla hajapelekwa jela? au amekuwa mgonjwa wa akili baada ya kutoka jela?
Mdude jana hakumtukana Rais, ni kauli aliyoitoa ndio imeonekana kuwashangaza/shtua wengi, japo nina hakika wengi wenu mkiambiwa muoneshe tusi kwenye ile kauli hamtaweza, mnatumia hisia zaidi kuhukumu.
Mmekuwa mkifikiria hili jambo kwa upande mmoja tu, kwanini hamfikirii na mateso aliyopitia Mdude akiwa gerezani muda wote huo kwa makosa ya kubambikiwa?
Nae ni binadamu, ana hisia, muacheni atoe frustrations zake, badala ya kusema akajifungie ndani huku sheria za nchi zikiendelea kuvunjwa, na mvunjaji ndio mnamlinda kama malaika, mnamvimbisha kichwa azidi kujisahau aendelee kufanya apendavyo.
Ikulu ni ofisi ya umma, na yeyote anaekaa pale ana jukumu la kuwatumikia wananchi bila kujali itikadi zao, usawa na haki viwepo kwa wote, akijisahau kwa hilo ni lazima akumbushwe, mahaba yenu kwa "mama" yatazidi kumuharibu, amkeni.
Mbonà unakuwa juha, Hawa wanatetea demokrasia, kosa liko wapi?
Mbonà unakuwa juha, Hawa wanatetea demokrasia, kosa liko wapi?
Huwezi jua yaliyomkuta gerezani mahabusu huko, he is tramatauzed. Yumkini keshajikatia tamaa ya maisha kwa yaliyomkuta huko alikokuwa anaona hana cha kupotezaAm speechless [emoji87]
Tulilia wengi alipoteseka gerezani
Tulihuzunika sana alipolazimishiwa makosa ya uongo ili apotezwe.
Tumepigana wengi Mdude chadema kuwa huru.
Alipotoka jela alistahili yafuatayo;
1-Akaione familia yake akae nayo kwa muda
2-Apata physician amfanyie check up ya afya yake kwa kina (muda aliokaa gerezani ni mwingi sana).
3-Apatikane psychologist akae nae kumjenga kisaikolojia ili akitoka kuingia kwenye harakati aingie akiwa imara kimwili, kiakili na kimaono.
.
Kuendelea kumpatia kipaza sauti mapema haya SIONI TUNACHOJENGA, SIONI TUKIMSAIDIA, SIONI TUKIMPENDA MDUDE!
.
Sio lazima mnielewe na sio lazima mfanye hili ila TUFIKIRIE MAUMIVU TULIYOPITIA KAMA TUNA UTAYARI WA KUYAPOKEA TENA.
.
Alitufunza Mkiti freeman mbowetz kwamba tuyakatae mauti, tuivuke mitego inayotegwa kwetu kuturudisha nyuma maana hakuna faida kufa ama kusota jela. Tutapoteza muda wa kujenga chama kwa ajili ya kupigania walio jela, tutapoteza rasilimali watu kama tutakufa, tazama leo hakuna Alphonce Mawazo tena. Tutampata wapi Mawazo? Familia yake itampata wapi mwingine?
.
Ni muda wa kufikiri aina ya harakati zetu towards...... Bora kuwa mkimbizi uanzishie mashambilizi ukiwa mahali ambapo hata mbu hakung'ati kuliko kujitoa muhanga hivi ukiwa huna uhakika wa KUSOMA ULICHOANDIKA!
.
Msimamo huu ni wangu, usipoupenda uheshimu wa kwako.
Utakula mvua wewe TAGA.Na watamnasa tena,sababu hayuko carefully,na safari ijayo,atakula mvua
Malaya ambaye ni muajiriwa wa TISS.Yuko sahihi! Mdude anastahili muda wa kupumzika kabla ya kuendelea na harakati zake. Lakini pia ni wakati wake sasa kuwa makini.
Masuala ya kukubali hela za malaya uliyekutana naye kwenye mitandao, halafu anakuja kukuwekea madawa ya kulevya ndani ya geto lako, ni uzembe wa kujitakia.
Wanataka akamatwe ili wapate cha kumsimangia Mama wa Kizimkazi.Mdude kichwa yake siyo nzuri na Chadema wanaona wamepata mtaji wa kisiasa.
..hicho anachopendekeza ali bananga labda kinawezekana ktk awamu hii ya rais samia suluhu.
..wakati wa rais magufuli walikuwepo wakina joseph selasini, james mbatia, prof.lipumba,...ambao walikuwa na mtizamo kama wa ali bananga lakini bado hila na ukatili wa ccm dhidi yao zilikuwa palepale.
Huyo Bananga namshauri tu arejee ccm, kwa aina ya siasa zake Za kutaka kuwafurahisha ccm kisa wamempa mkewe ubunge haramu, atapata tabu sana.
Hapa sasa ndiyo kuna VACUUM ya Party Strategists. CDM ina vijana wasomi wazuri wengi kama akina Jon Mallya, Godlisten Malisa, Tumaini Makene nk.Huwezi jua yaliyomkuta gerezani mahabusu huko, he is tramatauzed. Yumkini keshajikatia tamaa ya maisha kwa yaliyomkuta huko alikokuwa anaona hana cha kupoteza
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Hakuna kijana hapa labda kuandika ila vitendo zeroHapa sasa ndiyo kuna VACUUM ya Party Strategists. CDM Ina bijana wazuri wengi kama akina Jon Mallya, Godlisten Malisa, Tumaini Makene nk.
Kwa nini msiwatumie hao vijana wawawekee mikakati tu ya na gani Siasa zenu ziendeshwe kipindi hiki cha 2021- 25. Naamini kabisa kama mungekuwa na timu ya MKAKATI basi Mdude mungepanga akapimzike kwanza, apate mental and psychological rehabilitation ndipo maybe baada ya miezi 6 aanze kujishughuLisha na Siasa.
Nawahakikishia CDM Watanzania wamechoka Siasa za matusi na dharau, mukienda hivyo kuomba kura WATAWADHARAU
Mbona akili za wana chadema ni sawa na za mdude? Nakwambia hivii...wanamuona ni shujaa wao, Nelson MandelaMdude hadi sasa ameshapunguza wanachadema zaidi ya elfu moja kwa maneno yake aliyoyatoa na anayoendelea kuyatoa na wasipokuwa makini watapoteza wengi sana .
Maana Jk ndio Master mind kwa sasa hivyo kimya kimya
Hata mwendazake ailiwahi kutoa kauli kama hii, yuko wapi leo?Yupo mwingine anaitwa tito magoti,, huyo alikua akijifanya kutetea haki za binadamu na NGO,fulani hivi,,nae ameanza kutoa vitisho vya kisiasa,,yaani keshakuwa mwanasiasa na anatoa kauli za kushuritisha mamlaka,,"namuangalia tu...huwezi kuwa msaliti,halafu......"