Ally Bananga: Mdude Nyagali anatakiwa kupumzika kwanza, kumpatia kipaza sauti mapema sioni tukimpenda na kumsaidia

Ally Bananga: Mdude Nyagali anatakiwa kupumzika kwanza, kumpatia kipaza sauti mapema sioni tukimpenda na kumsaidia

Sijawahi kumkubali huyo kiongozi dhalimu hata siku moja. Na kama ni kuanika huo uovu wake, nilifanya hapa hapa jukwaani toka akiwa hai kama ufanyavyo ww kwa huyo Mdude.
Umesahau kama nifanyavyo kwa Mdude na Mwenyekiti wa kudumu.
 
Mbonà unakuwa juha, Hawa wanatetea demokrasia, kosa liko wapi?
na wewe sometimes unakuwa kama sio mtu mzima, mkumbuke fadhila unadhani wakati wa jiwe hakukuwa na mahakama?!..
halafu umetoka juzi tu leo umeshaanza kuongea upumbavu kwa koti la demokrasia wakati unayemsema una uhakika asilimia 100 ndiye aliyekusaidia uwe huru....mkuu Retired man up na uepuke hizi siasa za majitaka wewe uko smart zaidi ya kushabikia huu upuuzi..
asante..
 
Waeleze waelewe wasidhani watu wanavotaka kuanza upya ili jumuiya ya kimataifa ione wao wako huru kutotumia akili! Mbona sisi ni wakosoaji toka jpm hadi leo tupo hakuna wa kutukamata wala nini, sasa huyo dogo anajiona mpambanaji sana kuliko wengine
Anajikuta che Guevara
 
Bananga anataka kusema Mdude alikuwa mgonjwa wa akili kabla hajapelekwa jela? au amekuwa mgonjwa wa akili baada ya kutoka jela?

Mdude jana hakumtukana Rais, ni kauli aliyoitoa ndio imeonekana kuwashangaza/shtua wengi, japo nina hakika wengi wenu mkiambiwa muoneshe tusi kwenye ile kauli hamtaweza, mnatumia hisia zaidi kuhukumu.

Mmekuwa mkifikiria hili jambo kwa upande mmoja tu, kwanini hamfikirii na mateso aliyopitia Mdude akiwa gerezani muda wote huo kwa makosa ya kubambikiwa?

Nae ni binadamu, ana hisia, muacheni atoe frustrations zake, badala ya kusema akajifungie ndani huku sheria za nchi zikiendelea kuvunjwa, na mvunjaji ndio mnamlinda kama malaika, mnamvimbisha kichwa azidi kujisahau aendelee kufanya apendavyo.

Ikulu ni ofisi ya umma, na yeyote anaekaa pale ana jukumu la kuwatumikia wananchi bila kujali itikadi zao, usawa na haki viwepo kwa wote, akijisahau kwa hilo ni lazima akumbushwe, mahaba yenu kwa "mama" yatazidi kumuharibu, amkeni.
Sawa mtetez wa mdude tumekupat
 
Bananga anataka kusema Mdude alikuwa mgonjwa wa akili kabla hajapelekwa jela? au amekuwa mgonjwa wa akili baada ya kutoka jela?

Mdude jana hakumtukana Rais, ni kauli aliyoitoa ndio imeonekana kuwashangaza/shtua wengi, japo nina hakika wengi wenu mkiambiwa muoneshe tusi kwenye ile kauli hamtaweza, mnatumia hisia zaidi kuhukumu.

Mmekuwa mkifikiria hili jambo kwa upande mmoja tu, kwanini hamfikirii na mateso aliyopitia Mdude akiwa gerezani muda wote huo kwa makosa ya kubambikiwa?

Nae ni binadamu, ana hisia, muacheni atoe frustrations zake, badala ya kusema akajifungie ndani huku sheria za nchi zikiendelea kuvunjwa, na mvunjaji ndio mnamlinda kama malaika, mnamvimbisha kichwa azidi kujisahau aendelee kufanya apendavyo.

Ikulu ni ofisi ya umma, na yeyote anaekaa pale ana jukumu la kuwatumikia wananchi bila kujali itikadi zao, usawa na haki viwepo kwa wote, akijisahau kwa hilo ni lazima akumbushwe, mahaba yenu kwa "mama" yatazidi kumuharibu, amkeni.
Nyie ndo mnaomjaza kichwa, endeleeni kumpumbaza kwa vijimaneno vyenu visivyo na kichwa wala miguu mtajuta shauri yenu!!
 
Mbonà unakuwa juha, Hawa wanatetea demokrasia, kosa liko wapi?

Tito Magoti hana shida yeyote! Kama yeye hawezi aache wanaume wahangaika aje kula Matunda ya Kazi ya wanaume!
 
Am speechless [emoji87]
Tulilia wengi alipoteseka gerezani
Tulihuzunika sana alipolazimishiwa makosa ya uongo ili apotezwe.
Tumepigana wengi Mdude chadema kuwa huru.
Alipotoka jela alistahili yafuatayo;

1-Akaione familia yake akae nayo kwa muda
2-Apata physician amfanyie check up ya afya yake kwa kina (muda aliokaa gerezani ni mwingi sana).
3-Apatikane psychologist akae nae kumjenga kisaikolojia ili akitoka kuingia kwenye harakati aingie akiwa imara kimwili, kiakili na kimaono.
.
Kuendelea kumpatia kipaza sauti mapema haya SIONI TUNACHOJENGA, SIONI TUKIMSAIDIA, SIONI TUKIMPENDA MDUDE!
.
Sio lazima mnielewe na sio lazima mfanye hili ila TUFIKIRIE MAUMIVU TULIYOPITIA KAMA TUNA UTAYARI WA KUYAPOKEA TENA.
.
Alitufunza Mkiti freeman mbowetz kwamba tuyakatae mauti, tuivuke mitego inayotegwa kwetu kuturudisha nyuma maana hakuna faida kufa ama kusota jela. Tutapoteza muda wa kujenga chama kwa ajili ya kupigania walio jela, tutapoteza rasilimali watu kama tutakufa, tazama leo hakuna Alphonce Mawazo tena. Tutampata wapi Mawazo? Familia yake itampata wapi mwingine?
.
Ni muda wa kufikiri aina ya harakati zetu towards...... Bora kuwa mkimbizi uanzishie mashambilizi ukiwa mahali ambapo hata mbu hakung'ati kuliko kujitoa muhanga hivi ukiwa huna uhakika wa KUSOMA ULICHOANDIKA!
.
Msimamo huu ni wangu, usipoupenda uheshimu wa kwako.
Huwezi jua yaliyomkuta gerezani mahabusu huko, he is tramatauzed. Yumkini keshajikatia tamaa ya maisha kwa yaliyomkuta huko alikokuwa anaona hana cha kupoteza

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Enzi zile kulikuwa na watu wa kubeba vyombo vya muziki na kuandaa stage hata kama walikuwa na vipaji vya kuimba, ilikuwa hadi viongozi wao wajilidhishe na NIDHAMU yako kwanza ndio wakupe jukwaa la kuimba! Mbinu hii ilitumika sio kwenye band tu hata mafundi ujenzi, wavuvi nk.
Chadema sio kila mwenye "kipaji" lazima apewe jukwaa, wape muda wa kujijenga kinidhamu! Huo ndio utamaduni wetu
 
Yuko sahihi! Mdude anastahili muda wa kupumzika kabla ya kuendelea na harakati zake. Lakini pia ni wakati wake sasa kuwa makini.

Masuala ya kukubali hela za malaya uliyekutana naye kwenye mitandao, halafu anakuja kukuwekea madawa ya kulevya ndani ya geto lako, ni uzembe wa kujitakia.
Malaya ambaye ni muajiriwa wa TISS.
 
Heshimu watu,majina ya watu huandikwa kwa kuanza na herufi kubwa
..hicho anachopendekeza ali bananga labda kinawezekana ktk awamu hii ya rais samia suluhu.

..wakati wa rais magufuli walikuwepo wakina joseph selasini, james mbatia, prof.lipumba,...ambao walikuwa na mtizamo kama wa ali bananga lakini bado hila na ukatili wa ccm dhidi yao zilikuwa palepale.
 
Huwezi jua yaliyomkuta gerezani mahabusu huko, he is tramatauzed. Yumkini keshajikatia tamaa ya maisha kwa yaliyomkuta huko alikokuwa anaona hana cha kupoteza

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Hapa sasa ndiyo kuna VACUUM ya Party Strategists. CDM ina vijana wasomi wazuri wengi kama akina Jon Mallya, Godlisten Malisa, Tumaini Makene nk.

Kwa nini msiwatumie hao vijana wawawekee mikakati tu ya namna gani Siasa zenu ziendeshwe kipindi hiki cha 2021- 25. Naamini kabisa kama mungekuwa na timu ya MKAKATI basi Mdude mungepanga akapimzike kwanza, apate mental and psychological rehabilitation ndipo maybe baada ya miezi 6 aanze kujishughuLisha na Siasa.

Nawahakikishia CDM Watanzania wamechoka Siasa za matusi na dharau, mukienda hivyo kuomba kura WATAWADHARAU
 
Maccm yana nyimbo zao licha Ukweli kuwa zinawakashifu wapinzani lakini vile vile zinajenga chuki kwenye jamii na kutishia haki ya kuishi!
Lakini kwao na kwa wananchi wasiojitambua hizo nyimbo ni rukhsa!
 
Hapa sasa ndiyo kuna VACUUM ya Party Strategists. CDM Ina bijana wazuri wengi kama akina Jon Mallya, Godlisten Malisa, Tumaini Makene nk.

Kwa nini msiwatumie hao vijana wawawekee mikakati tu ya na gani Siasa zenu ziendeshwe kipindi hiki cha 2021- 25. Naamini kabisa kama mungekuwa na timu ya MKAKATI basi Mdude mungepanga akapimzike kwanza, apate mental and psychological rehabilitation ndipo maybe baada ya miezi 6 aanze kujishughuLisha na Siasa.

Nawahakikishia CDM Watanzania wamechoka Siasa za matusi na dharau, mukienda hivyo kuomba kura WATAWADHARAU
Hakuna kijana hapa labda kuandika ila vitendo zero
 
Mdude hadi sasa ameshapunguza wanachadema zaidi ya elfu moja kwa maneno yake aliyoyatoa na anayoendelea kuyatoa na wasipokuwa makini watapoteza wengi sana .

Maana Jk ndio Master mind kwa sasa hivyo kimya kimya
Mbona akili za wana chadema ni sawa na za mdude? Nakwambia hivii...wanamuona ni shujaa wao, Nelson Mandela
 
Yupo mwingine anaitwa tito magoti,, huyo alikua akijifanya kutetea haki za binadamu na NGO,fulani hivi,,nae ameanza kutoa vitisho vya kisiasa,,yaani keshakuwa mwanasiasa na anatoa kauli za kushuritisha mamlaka,,"namuangalia tu...huwezi kuwa msaliti,halafu......"
Hata mwendazake ailiwahi kutoa kauli kama hii, yuko wapi leo?
 
Back
Top Bottom