Ally Bananga: Mdude Nyagali anatakiwa kupumzika kwanza, kumpatia kipaza sauti mapema sioni tukimpenda na kumsaidia

Ally Bananga: Mdude Nyagali anatakiwa kupumzika kwanza, kumpatia kipaza sauti mapema sioni tukimpenda na kumsaidia

Bananga anataka kusema Mdude alikuwa mgonjwa wa akili kabla hajapelekwa jela? au amekuwa mgonjwa wa akili baada ya kutoka jela?

Mdude jana hakumtukana Rais, ni kauli aliyoitoa ndio imeonekana kuwashangaza/shtua wengi, japo nina hakika wengi wenu mkiambiwa muoneshe tusi kwenye ile kauli hamtaweza, mnatumia hisia zaidi kuhukumu.

Mmekuwa mkifikiria hili jambo kwa upande mmoja tu, kwanini hamfikirii na mateso aliyopitia Mdude akiwa gerezani muda wote huo kwa makosa ya kubambikiwa?

Nae ni binadamu, ana hisia, muacheni atoe frustrations zake, badala ya kusema akajifungie ndani huku sheria za nchi zikiendelea kuvunjwa, na mvunjaji ndio mnamlinda kama malaika, mnamvimbisha kichwa azidi kujisahau aendelee kufanya apendavyo.

Ikulu ni ofisi ya umma, na yeyote anaekaa pale ana jukumu la kuwatumikia wananchi bila kujali itikadi zao, usawa na haki viwepo kwa wote, akijisahau kwa hilo ni lazima akumbushwe, mahaba yenu kwa "mama" yatazidi kumuharibu, amkeni.
Nasikia kauli kama hizo huko Twitter kuwa "hajatukana, kasema ukweli" au "nionyeshe tusi." Huu ni mwendelezo wa jitihada za kufanya lugha zisizo za kiungwana ikiwa ni pamoja na matusi zionekane acceptable. No wonder kuna watu wamekuwa maarufu mtandaoni kwa sababu wanatukana sana.

Kwa mnaopenda matusi, hakuna tusi ambalo ni tusi. Na hiyo kamwe haitobadilika. Hofu yetu sio ninyi waumini wa matusi bali hofu ni jamii kukubali kuwa matusi ni acceptable way of mawasiliano.
 
Huyo Bananga namshauri tu arejee ccm, kwa aina ya siasa zake Za kutaka kuwafurahisha ccm kisa wamempa mkewe ubunge haramu, atapata tabu sana.
 
Dhalimu wa Chattle mlimchukulia hatua gani kipindi anapora fedha za Bureau de change na korosho? Mnatuletea kilio kwa mambo mepesi wakati mlikalia kimya uovu wa yule kiongozi dhalimu?
Two wrongs never make one right Mkuu...ni heri sisi tumesema wewe ulikuwa wapi kumstaki huyo unayemuita "Dhalimu"
 
Two wrongs never make one right Mkuu...ni heri sisi tumesema wewe ulikuwa wapi kumstaki huyo unayemuita "Dhalimu"
Sijawahi kumkubali huyo kiongozi dhalimu hata siku moja. Na kama ni kuanika huo uovu wake, nilifanya hapa hapa jukwaani toka akiwa hai kama ufanyavyo ww kwa huyo Mdude.
 
Yupo mwingine anaitwa tito magoti,, huyo alikua akijifanya kutetea haki za binadamu na NGO,fulani hivi,,nae ameanza kutoa vitisho vya kisiasa,,yaani keshakuwa mwanasiasa na anatoa kauli za kushuritisha mamlaka,,"namuangalia tu...huwezi kuwa msaliti,halafu......"
Acha kutisha watu wewe. Kama wewe upo tayari kuishi hata kama unanyanyasika, wenzako wako tayari kufa kuliko kusujudia waonevu .

Namkumbusha mama ajiandaye kunyolewa na wembe wa Mdude
 
Nasikia kauli kama hizo huko Twitter kuwa "hajatukana, kasema ukweli" au "nionyeshe tusi." Huu ni mwendelezo wa jitihada za kufanya lugha zisizo za kiungwana ikiwa ni pamoja na matusi zionekane acceptable. No wonder kuna watu wamekuwa maarufu mtandaoni kwa sababu wanatukana sana.

Kwa mnaopenda matusi, hakuna tusi ambalo ni tusi. Na hiyo kamwe haitobadilika. Hofu yetu sio ninyi waumini wa matusi bali hofu ni jamii kukubali kuwa matusi ni acceptable way of mawasiliano.
Nani muumini wa matusi? wacha kuropoka, kama unaona kauli ya Mdude ilikuwa na tusi tuwekee hilo tusi hapa tulione, wengi wenu mnaongozwa na hisia sana kwenye reasoning.
 
Yuko sahihi! Mdude anastahili muda wa kupumzika kabla ya kuendelea na harakati zake. Lakini pia ni wakati wake sasa kuwa makini.

Masuala ya kukubali hela za malaya uliyekutana naye kwenye mitandao, halafu anakuja kukuwekea madawa ya kulevya ndani ya geto lako, ni uzembe wa kujitakia.

Kwangu Bananga amekua mwanasiasa bora siku zote
Mungu amtunze sana
 
Mdude is a very ungrateful person
 
Kuna wajinga wanamjaza pumba kua ameshinda kesi kitu ambacho kesho rufaa inaweza katwa ushahidi ukawekwa mezani akala nyundo 30 tukamsahau tukaendelea na mishe zetu za dubei.
 
Hawana jema hao MAMA hata uwalambe miguu ... ni mizigo ya mavi... wanahitaji mtu kama JIWE WAKIWEKA UGOKO ANAWEKA CHUMA
 
Am speechless [emoji87]
Tulilia wengi alipoteseka gerezani
Tulihuzunika sana alipolazimishiwa makosa ya uongo ili apotezwe.
Tumepigana wengi Mdude chadema kuwa huru.
Alipotoka jela alistahili yafuatayo;

1-Akaione familia yake akae nayo kwa muda
2-Apata physician amfanyie check up ya afya yake kwa kina (muda aliokaa gerezani ni mwingi sana).
3-Apatikane psychologist akae nae kumjenga kisaikolojia ili akitoka kuingia kwenye harakati aingie akiwa imara kimwili, kiakili na kimaono.
.
Kuendelea kumpatia kipaza sauti mapema haya SIONI TUNACHOJENGA, SIONI TUKIMSAIDIA, SIONI TUKIMPENDA MDUDE!
.
Sio lazima mnielewe na sio lazima mfanye hili ila TUFIKIRIE MAUMIVU TULIYOPITIA KAMA TUNA UTAYARI WA KUYAPOKEA TENA.
.
Alitufunza Mkiti freeman mbowetz kwamba tuyakatae mauti, tuivuke mitego inayotegwa kwetu kuturudisha nyuma maana hakuna faida kufa ama kusota jela. Tutapoteza muda wa kujenga chama kwa ajili ya kupigania walio jela, tutapoteza rasilimali watu kama tutakufa, tazama leo hakuna Alphonce Mawazo tena. Tutampata wapi Mawazo? Familia yake itampata wapi mwingine?
.
Ni muda wa kufikiri aina ya harakati zetu towards...... Bora kuwa mkimbizi uanzishie mashambilizi ukiwa mahali ambapo hata mbu hakung'ati kuliko kujitoa muhanga hivi ukiwa huna uhakika wa KUSOMA ULICHOANDIKA!
.
Msimamo huu ni wangu, usipoupenda uheshimu wa kwako.
Mdude nakushauri tafuta mke tena kule kijijini uoe, uhuru wa bendera tulishapata.Nenda katoe sadaka kanisani kwako umshukuru Mungu. This is Africa and this is Tanzania, ask Kambona if you ...
 
Yupo mwingine anaitwa tito magoti,, huyo alikua akijifanya kutetea haki za binadamu na NGO,fulani hivi,,nae ameanza kutoa vitisho vya kisiasa,,yaani keshakuwa mwanasiasa na anatoa kauli za kushuritisha mamlaka,,"namuangalia tu...huwezi kuwa msaliti,halafu......"
Ana id yake hapa jf!
 
Ni vyema akapumzika kwa muda huu
ambao ametoka korokoloni....naungana na binamu Bananga katika hili

Watanzania ni watu wanafiq sana linapokupata wanakuacha ukipambana na hali yako wao wakiishia kucheka na kukudhihaki.
 
Am speechless [emoji87]
Tulilia wengi alipoteseka gerezani
Tulihuzunika sana alipolazimishiwa makosa ya uongo ili apotezwe.
Tumepigana wengi Mdude chadema kuwa huru.
Alipotoka jela alistahili yafuatayo;

1-Akaione familia yake akae nayo kwa muda
2-Apata physician amfanyie check up ya afya yake kwa kina (muda aliokaa gerezani ni mwingi sana).
3-Apatikane psychologist akae nae kumjenga kisaikolojia ili akitoka kuingia kwenye harakati aingie akiwa imara kimwili, kiakili na kimaono.
.
Kuendelea kumpatia kipaza sauti mapema haya SIONI TUNACHOJENGA, SIONI TUKIMSAIDIA, SIONI TUKIMPENDA MDUDE!
.
Sio lazima mnielewe na sio lazima mfanye hili ila TUFIKIRIE MAUMIVU TULIYOPITIA KAMA TUNA UTAYARI WA KUYAPOKEA TENA.
.
Alitufunza Mkiti freeman mbowetz kwamba tuyakatae mauti, tuivuke mitego inayotegwa kwetu kuturudisha nyuma maana hakuna faida kufa ama kusota jela. Tutapoteza muda wa kujenga chama kwa ajili ya kupigania walio jela, tutapoteza rasilimali watu kama tutakufa, tazama leo hakuna Alphonce Mawazo tena. Tutampata wapi Mawazo? Familia yake itampata wapi mwingine?
.
Ni muda wa kufikiri aina ya harakati zetu towards...... Bora kuwa mkimbizi uanzishie mashambilizi ukiwa mahali ambapo hata mbu hakung'ati kuliko kujitoa muhanga hivi ukiwa huna uhakika wa KUSOMA ULICHOANDIKA!
.
Msimamo huu ni wangu, usipoupenda uheshimu wa kwako.
Binamu anaishi kumtegemea mke,apambane n hali yake tu
 
Ni vyema akapumzika kwa muda huu
ambao ametoka korokoloni....naungana na binamu Bananga katika hili

Watanzania ni watu wanafiq sana linapokupata wanakuacha ukipambana na hali yako wao wakiishia kucheka na kukudhihaki.

..bananga angekuwa anamjali mdude angependekeza serikali imlipe FIDIA kwa kumteka, kumtesa, na kumbambikia kesi.

..pia angependekeza waliohusika na udhalimu dhidi ya mdude nyagali wachukuliwe hatua za kinidhamu na kisheria.
 
..ccm nao wanamtuamia mdude kama mtaji wa kumchochea Rais Samia ili afungulie vyombo vya DOLA dhidi ya chadema.

Cc tindo

Bila hata Mdude kuongea hayo maneno lazima huyo mama angefungulia tu vyombo vya dola. Maana ccm sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa. Hata cdm wangejinyenyekeza vipi lazima ccm itumie vyombo vya dola maana ndio nguvu yake ilipo.
 
Back
Top Bottom