Ally Bananga: Nikifika mbinguni (peponi) nikikuta Mama Samia hayupo natoka peponi

NJAA ni kitu kibaya sana, Mungu atusaidie.Kutokana na njaaa mpaka tunakufuru.
 
Hela za
Hela za kulewa anapata wapi na kama una picha ya wife wake turushie itusaidie katika sabuni
 
amekufuru sana. nadhani huyu amaweza kumbaka maa yake apate cheo, mshenzi mkubwa sana.
 
Bananga ni nani? nisaidie, elimu yake, anafanya nini etc
Alikuwa Diwani wa Chadema Arusha,pia aligombea Uenyekiti wa Kanda Kaskazini akabwagwa na Lema hapo napo alitishia kurudi CCM. Pia ni mmoja ya watu waliokuwa kwenye kampeni ya Urais ya Lisu. Mke wake Hawa Bananga aligombea Ubunge Tabora akashindwa,kwasasa ni Mbunge Viti maalum kati ya wale Covid19 wakina Mdee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli ww unafaninisha pepo na ujinga wako ee MUNGU chukua hiii takataka peleka motoni
 
huku kunaitwa kujipendekezanaizesheni kwa kiwango cha midege ya Meko, yaani umbwa yule tena muislam maamaye anaswali ana kufuru namna ile walay laadhim pesa mwanaharam
 
Huyu nae wameshang'ofoa ubongo tayari, mwanaume mzima unajipendekeza kwa demu
 
Asante sana.mungu akujaalie maisha marefu. Na kesho ahera . Hakika akujalie hekma.
 
Mbona hamumtaji jina huyo mke wake Mbunge wa COVID 19?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…