GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hama kwa dada yako kapange
Kwa hiyo na kaka Steve Nyerere nae yuko kwa foleni??
Anachanganya zege! Ila siyo utani jamaa sauti nzuri ya kuimba anayo! Vipi anakunywa chai ya rangi na ndimu?Maisha bhana ! Muumini Mwinjuma siku hizi anakunywa chai ya vitumbua na maharage kwa mama wawili Mtoni Mtongani !
Kwa hiyo ndugu unataka kusema kuwa ndumba aka tunguli ni ril kabisa?Tokea tukio hilo ndipo nilipoamini kwambabaadhi ya wasanii wanatumia ndumba kutuchota tuwapende na wavume,alikuwa juu sana mpaka mganga yule alipojitokeza na kudai kudhulumiwa na muumin na kuhaidi atamfelisha,na kweli mambo ya muumini kuanzia pale yalienda kombo mpaka leo akapotea jumla.
Duuu. Nakuja..nimchukue hata selfie na. Nimnunulie chai chapati na maini ya kukaanga kubadilisha bekifasti! Hivi kwa kutokea kariakoo nafikaje huko kwa dalaΓ2Njoo mtongani kwenye banda la chai la makuti kwa mama wawili saa 2 asubuhi utamkuta .
Muombe pia na mjusi anaemfuga jirani yako asirukie kwako.Kwa hiyo na kaka Steve Nyerere nae yuko kwa foleni??
Mungu ninusuru ili huyu mjusi ninaemfuga asirukie nyumba ya jirani.
Panda Gari za Mbagala mwambie konda akushushe mtoniDuuu. Nakuja..nimchukue hata selfie na. Nimnunulie chai chapati na maini ya kukaanga kubadilisha bekifasti! Hivi kwa kutokea kariakoo nafikaje huko kwa dalaΓ2
Mmh atariii kabisaa yaniNikimsikia Ali Choki nakumbuka wosia wa Diana Aston Villa
sijui kwa nini watu huwa hawaprndi kupima na kuanza dawa mapemayamekuwa hayo tena wakuu !
Kamarade, Mzee wa Farasi, Mzee wa Kijiko, Mzigo na kadhalika.
Mwenyezi Mungu akupe ahueni upate nafuu na urudi jukwaani haraka.
Hivi hili neno 'kamarade' lina maana gani?
Kwa mimi kua na amani tu, nko fit.
Labda wengine uliopita nao.
Hahahaaaaaa Si mchezo πππππ.Nikifa mimi, wewe utakufa, wa Arusha atakufa, yule rafiki yako wa polisi Mwinjuma atakufa, yule rafiki yako wa Hananasif mume wa mzungu pia atakufa, yule shemeji yako wa kiume pale Nyamala nae atakufa.
So usicheke.
Omba tu Mungu.
Chain ndefu sana tumeitengeneza.
Hivi Kweli Madame ume_bang na Mzee wa Man's not Hot aka Super man baller au Changamsha Genge?Na hii ni chain ya muda wa miezi 6 au 7 tangu tufahamiane.
Achilia mbali ile ya wakati nafanya kazi Vegas Casino.
Hahahahahaha......tumbo joto huko.
ni comrade,ila wanaozungumza kireno kama msumbiji wanatamka kamaradeHivi hili neno 'kamarade' lina maana gani?
ni comrade,ila wanaozungumza kireno kama msumbiji wanatamka kamarade