Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Hapi ametoa kauli hiyo akiwa wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe ikiwa ni katika mwendelezo wa ziara yake mkoani humo inayolenga kuijenga Jumuiya ya Wazazi na Chama Chama Mapinduzi.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu
..jamaa unaona kabisa kuwa ameishiwa hoja na sera.