Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Your browser is not able to display this video.
Hapi ametoa kauli hiyo akiwa wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe ikiwa ni katika mwendelezo wa ziara yake mkoani humo inayolenga kuijenga Jumuiya ya Wazazi na Chama Chama Mapinduzi.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu
..jamaa unaona kabisa kuwa ameishiwa hoja na sera.