Watoto wadogo CHADEMA na wengine umejumbe umewafikia, mna nini cha kuoffer wananchi waone CCM ni pumba wawachague na kuwachagua nyinyi?
======
"Tushikamane na serikali yetu na chama chetu CCM katika chaguzi zinazikuja za serikali za mitaa, tuwachague wagombea wanaotokana na CCM, ndhicho chama bora na makini kinachosimamia shida za watu kwa dhati.
"Vile vyama vingine bado havijakomaa, ni vijiwe, sasa usiweze kuwapa watoto shughuli ya mtu mzima, hawatoiweza, shughuli ya kuongoza ni ya CCM, tutahakikisha tunawaletea wanachi wagombea bora, wenye sifa na wanaokubalika, wachagueni ili wakaliendeleze gurudumu la maendeleo hapa Isaka-Kahama."
Ally Hapi ameyasema hayo jana Oktoba 1, 2024 alipopokelewa na wananchi wa Isaka-Kahama, Shinyanga ambako anatarajiwa kufanya ziara ya siku 6 mkoani humo.
Ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kuliletea maendeleo endelevu na yenye kugusa Maisha ya watanzania.kila mwenye akili Timamu na anayejitambua haja budi kuendelea kuiunga mkono CCM usiku na mchana na kuendelea kuisemea.
Watoto wadogo CHADEMA na wengine umejumbe umewafikia, mna nini cha kuoffer wananchi waone CCM ni pumba wawachague na kuwachagua nyinyi?
======
"Tushikamane na serikali yetu na chama chetu CCM katika chaguzi zinazikuja za serikali za mitaa, tuwachague wagombea wanaotokana na CCM, ndhicho chama bora na makini kinachosimamia shida za watu kwa dhati.
"Vile vyama vingine bado havijakomaa, ni vijiwe, sasa usiweze kuwapa watoto shughuli ya mtu mzima, hawatoiweza, shughuli ya kuongoza ni ya CCM, tutahakikisha tunawaletea wanachi wagombea bora, wenye sifa na wanaokubalika, wachagueni ili wakaliendeleze gurudumu la maendeleo hapa Isaka-Kahama."
Ally Hapi ameyasema hayo jana Oktoba 1, 2024 alipopokelewa na wananchi wa Isaka-Kahama, Shinyanga ambako anatarajiwa kufanya ziara ya siku 6 mkoani humo.
Watoto wadogo CHADEMA na wengine umejumbe umewafikia, mna nini cha kuoffer wananchi waone CCM ni pumba wawachague na kuwachagua nyinyi?
======
"Tushikamane na serikali yetu na chama chetu CCM katika chaguzi zinazikuja za serikali za mitaa, tuwachague wagombea wanaotokana na CCM, ndhicho chama bora na makini kinachosimamia shida za watu kwa dhati.
"Vile vyama vingine bado havijakomaa, ni vijiwe, sasa usiweze kuwapa watoto shughuli ya mtu mzima, hawatoiweza, shughuli ya kuongoza ni ya CCM, tutahakikisha tunawaletea wanachi wagombea bora, wenye sifa na wanaokubalika, wachagueni ili wakaliendeleze gurudumu la maendeleo hapa Isaka-Kahama."
Ally Hapi ameyasema hayo jana Oktoba 1, 2024 alipopokelewa na wananchi wa Isaka-Kahama, Shinyanga ambako anatarajiwa kufanya ziara ya siku 6 mkoani humo.