Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Huyu jamaa aliona mbali sana kama miezi 6 iliyopita aliposema target yao ni Makundi. Huku kwingine ni pagumu sana.
Na ukiangalia draw ilivyochezwa kwenye hayo makundi yalivyosimama kila kundi atakayefuzu ndo hao hao namba 1 na 2
View attachment 2774059
Na ukiangalia draw ilivyochezwa kwenye hayo makundi yalivyosimama kila kundi atakayefuzu ndo hao hao namba 1 na 2
View attachment 2774059