Ally Kamwe amjibu Ahmed Ally

Ally Kamwe amjibu Ahmed Ally

Wakati yanga wapo na twenzetu Kwa madiba,hivi Simba walikuwa na hamasa ipi,Simba imepoa na ipo kinyonge sana
 
Bahati nzuri, Mungu ametujaalia Serikali yenye viongozi wenye upendo.
Eti viongozi wenye upendo! Wangekuwa wana upendo wangeacha wagonjwa wanaoshindwa kulipia matibabu mahospitalini kufa ovyo! Waseme wana maslahi yao binafsi kwenye hilo jambo.
 
Halafu kesho serikali inapitisha bakuli kwa wadau eti kuichangia timu ya Taifa...shit
 
Unchekesha mkuu, huyo unamuona hata hela ya kununua hata jezi anayo,,achilia mbali kutoa pesa kusafiri nje ya nchi?? [emoji23]
Mama kawalipia nauli waende, wote waliolipiwa ni wale kina🐸🐸 pangu pakavu tia mchuzi akiwemo Frank Wanjiru 🤣
 
"Hakukuwa na Plan Yoyote kuhusu wao lla kwa sababu Yanga wamewaza na Jambo Limefanyika .. Basi nao kipele kikawawasha."

"Mkome ! Hamko Levo zetu na Hamtakaa mfike. Uzembe wenu msitake kuwabebesha lawama viongozi wetu wa Serikali ambao kwa kipindi cha miaka hii miwili wamekuwa Bega kwa Bega kuhakikisha wanasaidia maendeleo ya Sekta yetu ya Michezo.."

Huyu dogo huwa ana kauli chafu sana...

Ipo wapi ile spirit ya "solidarity forever" kwenye hizi mechi?
 
"Eti Tunapendelewa?
Sisi Tulishaanza mchakato wetu wa safari mapema. Zaidi ya Mashabiki 30 walishalipia 600,000 zao za safari .. Uongozi ukaona kuna Fursa ya kuishirikisha Serikali kusaidia kidogo mashabiki wetu kwenye accommodation.."

"Bahati nzuri, Mungu ametujaalia Serikali yenye viongozi wenye upendo. Wakapokea ombi letu, wakapitia bajeti yetu.. Na kwa maslahi mapana ya Nchi, Wakaibeba Safari ya Mashabiki wetu."

"Kwa mkurupuko mkubwa.. Kwa hoja za kitoto kabisa, wameibuka na kudai Eti na wao wasafirishwe na Serikali kama Yanga
Hii inatafsiri katika mipango yao, hawakuwawaza mashabiki wao kwa Lolote kwenye hii safari. Walishawatelekeza.."

"Hakukuwa na Plan Yoyote kuhusu wao lla kwa sababu Yanga wamewaza na Jambo Limefanyika .. Basi nao kipele kikawawasha."

"Mkome ! Hamko Levo zetu na Hamtakaa mfike. Uzembe wenu msitake kuwabebesha lawama viongozi wetu wa Serikali ambao kwa kipindi cha miaka hii miwili wamekuwa Bega kwa Bega kuhakikisha wanasaidia maendeleo ya Sekta yetu ya Michezo.."

[emoji2399] Ally Kamwe
Afisa habari wa Yanga SC
..
FB_IMG_1701840960728.jpg
 
washenzi hao yani wafungwe nyumbani halafu serikali iwalipie nauli nyie makolo vipi mkishinda nauli mtapata
 
Back
Top Bottom